Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,146
- 7,000
Nimemshangiaa N/ waziri wa mambo ya ndani Kagasheki kusema eti serikali inamjua mbunge MMOJA wa chama kimoja alietoka kwenye jimbo lake na kwenda kuchochea fujo Tarime.
Hii ni kauli ya kichovu na uoga ya serikali kama mbunge wa chama hicho aliepo Tarime ni Lema ambae pia ni waziri wa mambo ya ndani (Kivuli). Sasa sijui ni sheria gani imevunjwa kwa Mh Lema kwenda Tarime ama ni kosa kukuta watanzania wenzako wemeuwawa ukawapa pole.
Kagasheki si uje Tarime hapa ujue shida ya watu wa Tarime?
Lema amekuja kutupa pole ni haki kabisa sasa sijui unataka nini wakati mnaua watu wetu jiheshimu wewe Kagasheki ujue kama sio sisi wana TARIME wewe ungekua mganda mana Amin alishachukua Bukoba yote, sisi tulipigana kuwaokoa nyie.
Mnaua watu kila mara hapa Tarime tangu hata Lema hajawa Mbunge ama ndie yeye alikua anawapa risasi? Acheni uzushi na udaku na TBC LENU hilo.
Hii ni kauli ya kichovu na uoga ya serikali kama mbunge wa chama hicho aliepo Tarime ni Lema ambae pia ni waziri wa mambo ya ndani (Kivuli). Sasa sijui ni sheria gani imevunjwa kwa Mh Lema kwenda Tarime ama ni kosa kukuta watanzania wenzako wemeuwawa ukawapa pole.
Kagasheki si uje Tarime hapa ujue shida ya watu wa Tarime?
Lema amekuja kutupa pole ni haki kabisa sasa sijui unataka nini wakati mnaua watu wetu jiheshimu wewe Kagasheki ujue kama sio sisi wana TARIME wewe ungekua mganda mana Amin alishachukua Bukoba yote, sisi tulipigana kuwaokoa nyie.
Mnaua watu kila mara hapa Tarime tangu hata Lema hajawa Mbunge ama ndie yeye alikua anawapa risasi? Acheni uzushi na udaku na TBC LENU hilo.