Hapo zamani za kale palikuwa na kipindi katika RTD kikiitwa mazungumzo baada ya habari.Mojawapo ya simulizi zake ilikuwa kuhusu mzimu katika makaburi ya mabaniani.Iliaminika kuwa palikuwa na mzimu ambao uliua watu.Hii ilifanya watu wasitafakari sababu za kifo bali kukimbilia kuhusisha chanzo cha kifo kwa maiti yoyote iliyookotwa katika eneo hilo kuwa kimetokana na mzimu huo.
Jana zimetokea vurugu Mwanza na tayari wakubwa wanzihusisha na Chama cha siasa.Hawataki kufikiri hata kidogo;hebu tujiulize,
Jana zimetokea vurugu Mwanza na tayari wakubwa wanzihusisha na Chama cha siasa.Hawataki kufikiri hata kidogo;hebu tujiulize,
- Nani anayeruhusu uvunjaji wa sheria kama sio serikali?
- Nani ameruhusa watu wapange biashara popote mpaka barabara hazipitiki?
- Nani kafungua mashina ya wakereketwa mpaka kwenye hifadhi za barabara?