Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Wewe ni nani? Je wewe kutoa ufafanuzi huu ni waziri wa utumishi wa umma au ni waziri wa fedha?? Waache wao ndiyo wawajibu wafanyakazi na siyo wewe.Kwa kifupi mwezi huu watumishi wote wa umma wataanza kupata mishahara mipya. Kazini kwetu tumeshapewa hilo tangazo kuwa mishahara ni tarehe 4 oktoba. Hiki ni kitu cha kawaida kila mwaka mishahara mipya inapoaanza kulipwa huwa inachelewa , wandungu poleni habari ndiyo hiyo