Serikali na mishahara ya Septemba 2011

Kwa kifupi mwezi huu watumishi wote wa umma wataanza kupata mishahara mipya. Kazini kwetu tumeshapewa hilo tangazo kuwa mishahara ni tarehe 4 oktoba. Hiki ni kitu cha kawaida kila mwaka mishahara mipya inapoaanza kulipwa huwa inachelewa , wandungu poleni habari ndiyo hiyo
Wewe ni nani? Je wewe kutoa ufafanuzi huu ni waziri wa utumishi wa umma au ni waziri wa fedha?? Waache wao ndiyo wawajibu wafanyakazi na siyo wewe.
 
Wewe unajua sentensi moja tu ya kiingereza ''this is crap''?

Any fool like you can run towards the light. It takes your master Nape with courage to turn and face the darkness and shine his own light there. Your a just a fool like Your Master Nape. I don't need to lecture you, coz your brain is in your Masaburi and Nape who is one got a key for your Masaburi. So Nape will unlock your brain very soon and You will see a light. I feel very sorry for you, because you can't even make your own decision till your Master Nape. I can feel for you dude, it's not your fault, it's your hunger that make you to be used with Nape, so you can get something to feed your stomach, Shame. CCM and your Master Nape, they turn you & others to be a Zombie. We can't wait to liberate from (CCM) Nape to a true Independence, which all Tanzanian were fight for.
 
Upo wapi serikali za mitaa au serikali kuu? Sisi wa mitaa tumeshamaliza mishahara ya Septemba, au unamaanisha mishahara ya Oktoba?

uko serikali ya mitaa ya wapi ambayo mishara ya septemba mmesha maliza , ni mitaa ya vingunguti ?
 
Mpaka sasa watumishi wa sekta nyingi za serikali hawajalipwa mishahara yao, kitu ambacho si kawaida. Tumezoea kulipwa kati ya tarehe 22 - 25 ya kila mwezi lakini sasa tunaingia siku ya mwisho kabisa ya mwezi na hakuna hata dalili, napenda kujua wadau, AU NDO PESA ZETU ZIMEENDA IGUNGA? maana nasikia CCM wametumia karibu 10bl kwa ajili ya ukaguzi. Naomba majibu kwa atakaye kuwa nayo. Asante

Pole rafiki, mishahara hapa kwetu shirika la umma imeingia benki tarehe 23/9/2011.
 
Any fool like you can run towards the light. It takes your master Nape with courage to turn and face the darkness and shine his own light there. Your a just a fool like Your Master Nape. I don't need to lecture you, coz your brain is in your Masaburi and Nape who is one got a key for your Masaburi. I don't need to lecture you, coz your brain is in your Masaburi and Nape who is one got a key for your Masaburi. So Nape will unlock your brain very soon and You will see a light. I feel very sorry for you, because you can't even make your own decision till your Master Nape. I can feel for you dude, it's not your fault, it's your hunger that make you to be used with Nape, so you can get something to feed your stomach, Shame. CCM and your Master Nape, they turn you & others to be a Zombie. We can't wait to liberate from (CCM) Nape to a true Independence, which all Tanzanian were fight for.
Mpambano wa kiinglishi sasa uanze, lol, ngoja hili jamaa la dom lije na makingereza yake na mm ni MYOB
 
Mishahara gani mipya mkuu?Ila uzuri wa watumishi wa umma wa tziiidiii wazuri saanaa kwa uuvumilivu hicho ndo kinaipa serikali kiburi na nyie ndo mnaiweka madarakani.
 
Upo wapi serikali za mitaa au serikali kuu? Sisi wa mitaa tumeshamaliza mishahara ya Septemba, au unamaanisha mishahara ya Oktoba?
Uongo hausomewi kozi, mwita25 hata kama umejiariwa kuwasemea magamba this is too much, mi niko ofisini hapa na walimu kadhaa wanaomba kuvumiliwa malipo yao hadi mishahara itoke kwani hadi sasa hakuna kitu, Kajimbo kamoja tu serikali insomba hadi mishahara ya watumishi, naamini watumishi wa igunga watajifunza kutoikenulia menu kihasara CCM,
 
Uongo hausomewi kozi, mwita25 hata kama umejiariwa kuwasemea magamba this is too much, mi niko ofisini hapa na walimu kadhaa wanaomba kuvumiliwa malipo yao hadi mishahara itoke kwani hadi sasa hakuna kitu, Kajimbo kamoja tu serikali insomba hadi mishahara ya watumishi, naamini watumishi wa igunga watajifunza kutoikenulia menu kihasara CCM,

Inategemea mkuu lakini sisi tumeingiziwa mishahara. Inawezekana kukawa na ucheleweshaji kwenye halmashauri nyingine.
 
Kwa kifupi mwezi huu watumishi wote wa umma wataanza kupata mishahara mipya. Kazini kwetu tumeshapewa hilo tangazo kuwa mishahara ni tarehe 4 oktoba. Hiki ni kitu cha kawaida kila mwaka mishahara mipya inapoaanza kulipwa huwa inachelewa , wandungu poleni habari ndiyo hiyo

mishahara mipya tena? Kwa bajeti ipi?
 
huku wilayani watu wanatia huruma kila wakati wanakuja benki kuuliza salio hata chq hazijaletwa 2000 ili kuchangia 50 yrs ya uhuru ndo mvutano uliopo ss jiulize 2000 ukizidisha kwa wafanyakazh wote ni sh ngapi, waulizeni viongozi wa chama cha wafanyakazi watawaambia sababu
 
Hali inasikitisha, nadhani imetokea kwa awamu hii ya uongozi. Nakumbuka sana Agosti 2008 mshahara ulichelewa sana wakati huo serikali ina wataalam wengi wa kutoa ushauri juu ya uchumi na pato la taifa kwa ujumla. KAZI IPO!
 
Mishahara mpaka leo haijatoka kabisa yaaaaani hapa napiga miaayooo tu.................home kumechacha ile mbaya why kwa nini jamani mnatutesa hivyo serikali?
 
mishahara imeingia toka majuzi na kuisahau tumeshaanza uisahau, wewe unasema mshahara leo pole zako.
kwenye kijani hapo jumangapi hiyo kaka?hakuna mishahara mzee watu kibao wanalia njaaaa!,na tasisi nyingi za serikali hazijalipa mishahara,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,!hali ni tete ngoja nikacheki tena kama wameweka mchana huu,
 
Kwetu taasisi ya uma hamna kitu mpaka leo na haijulikani lini! Inatisha sana mtu anafanya kazi kwa utiifu wote alafu. Una muda wa kutosha kumwandalia malipo lakini unasubiri kuzima moto.
 
Back
Top Bottom