hussenly18
New Member
- Aug 23, 2012
- 3
- 0
serikali ya tanzania inapotoa kauli huwa ni nguvu ya soda,mfano maeneo ya ubungo wafanyabiashara wadogowadogo wamerudi kufanya biashara maeneo ambayo yalikatazwa kufanyia biashara..
serikali ya tanzania inapotoa kauli huwa ni nguvu ya soda,mfano maeneo ya ubungo wafanyabiashara wadogowadogo wamerudi kufanya biashara maeneo ambayo yalikatazwa kufanyia biashara..