Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
Jana/juzi press imeripoti Mattaka kasema hivi kuhusu kufungiwa kwa ATC:
Leo wanaripoti:
Hakuna hata pressman mmoja aliuyemuuliza Mattaka "sasa juzi ulikuwa unakanusha kanusha nini ?"
Au, alichokikanusha juzi sicho walichotuambia kakanusha. Yani hawakumuelewa.
Tunashindwa kujua nini kinaendelea uongozini kwa sababu hakuna wa kutuhabarisha. Na nusu ya matatizo yetu, I can almost guarantee, nusu ya matatizo yetu yangepotea kama tungekuwa na viable press. Watu wa serikali wangetia akili. The press is the weakest link, followed by parliament offcourse (parliament kazi yao wao ku rubber stamp bills za wizara ya sheria na kupigiana makofi vikaoni.)
Watu wa crummy press wanatu feed madudu na machafuchafu kushoto na kulia. You can not pick a single news piece devoid of crummy coverage. Nionyeshe taarifa, outlet yeyote ile, ambayo haijapindapinda!!
Na Mwandishi Wetu
Mwananchi
"Taarifa hizo ni za uzushi, na hivi sasa niko kwenye kikao na watu wengine na si TCAA," alisema Mataka.
Leo wanaripoti:
na Mwandishi Wetu
Tanzania Daima
"Kwa hiyo walibaini kuwa cheti kilichotolewa kwa ATC na ambacho muda wake ulikuwa umalizike Desemba 15, 2008, hakikuwa kimefuata taratibu. TCAA kwa hiyo iliamua kuiondolea ATC cheti hicho hadi hapo itakapokamilisha taratibu za kuwa na vielelezo vinavyokidhi masharti ya TCAA," ...alisema Mattaka
"Tunajutia usumbufu wowote uliojitokeza kwa wateja wetu na tunawaomba watuvumilie wakati tukiendelea kulishughulikia suala hili," alisema.
Hakuna hata pressman mmoja aliuyemuuliza Mattaka "sasa juzi ulikuwa unakanusha kanusha nini ?"
Au, alichokikanusha juzi sicho walichotuambia kakanusha. Yani hawakumuelewa.
Tunashindwa kujua nini kinaendelea uongozini kwa sababu hakuna wa kutuhabarisha. Na nusu ya matatizo yetu, I can almost guarantee, nusu ya matatizo yetu yangepotea kama tungekuwa na viable press. Watu wa serikali wangetia akili. The press is the weakest link, followed by parliament offcourse (parliament kazi yao wao ku rubber stamp bills za wizara ya sheria na kupigiana makofi vikaoni.)
Watu wa crummy press wanatu feed madudu na machafuchafu kushoto na kulia. You can not pick a single news piece devoid of crummy coverage. Nionyeshe taarifa, outlet yeyote ile, ambayo haijapindapinda!!