Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Sasa zimesitishwa au hazijasitishwa, which is which?
Regardless, faults 500 ni nyingi sana, hii ni hatari sana!
Wataalamu mliosomea urubani na hasa wahandisi popote mlipo nje na ndani ya Tanzania, natoa wito, tafadhalini, nendeni mka salvage ATCL.
Kwa tudege tutatu tuu? mbona tukiwa na ndege 10 itakwa ni fault 10000!