anuary salum
Member
- Dec 7, 2012
- 70
- 4
As usual,kwa serikali hii bila maandamano na migomo haki hakuna na hasikilizwi m2!
Nadhani wanasubiri maandamano na migomo kama Mtwara!!
Nakumbuka enzi za shule 2likua 2naimba
Tanzania tanzaniaaa,
Nakupenda kwa moyowoteee,
Nchi yangu tanzania,
Jina lako............!!.!
Ila leo hata wanishikie bunduki wakinambia niimbe siimbi
hahahaha! Serikali inatuangusha sana.