holypotato
Senior Member
- Sep 20, 2010
- 192
- 219
Kama nakumbuka vizuri waziri alishasema tena akiwa bungeni kuwa mgodi umesharudishwa serikalini, ila kwa kauli za sasa mchakato wa kuurudisha ndio unaanza sasa. Maana yake tuliingizwa chaka sijui ni ili kumsafisha mzee??? au waziri alipitiwa tuu......
nini adhabu ya waziri anapothibitika kuwa alilipotosha bunge??:gossip:
source: Serikali kuurudisha Mgodi wa Kiwira mikononi mwake
nini adhabu ya waziri anapothibitika kuwa alilipotosha bunge??:gossip:
source: Serikali kuurudisha Mgodi wa Kiwira mikononi mwake