Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,649
- 6,832
Hbr wakuu,
mimi ni mwalimu niliyepata shahada ya elimu mwaka jana,
nnlifika kwa afisa utumishi ili kufanyiwa marekebisho ya mshahara kwa kigezo cha elim baada ya kukamilisha hatua zote,jambo la kushangaza na kuumiza akaniambia kuwa serikali imesitisha kupandisha madaraja ya mishahara hadi mwezi april,
je ni kweli?
Kama ni hivyo mbona imekandamiza na inazidi kututesa sisi waalimu.
mimi ni mwalimu niliyepata shahada ya elimu mwaka jana,
nnlifika kwa afisa utumishi ili kufanyiwa marekebisho ya mshahara kwa kigezo cha elim baada ya kukamilisha hatua zote,jambo la kushangaza na kuumiza akaniambia kuwa serikali imesitisha kupandisha madaraja ya mishahara hadi mwezi april,
je ni kweli?
Kama ni hivyo mbona imekandamiza na inazidi kututesa sisi waalimu.