"Mimi siungi mkono mgomo. Sipendi kuona wananchi wanakosa huduma muhimu-iwe ya tiba, maji, elimu, chakula...lakini hapa kuna madai ya mazingira bora ya kazi na maslahi ya wafanyakazi..... Kwa mfano, sijamaliza kupitia vitabu vyote vya bajeti inayojadiliwa sasa, lakini tayari nimeona kuna Sh bilioni 15 kwa ajili ya chai!!" Dr Slaa- Mwanahalisi toleo No. 301 ya Jumatano Julai 4-10, 2012
Nawasilisha.
Nawasilisha.