Kwa muda mrefu sasa serikali na idara zake imekuwa ikitumia mamilioni ya fedha kutokana na bajeti yake kununua samani za maofisi yake kutoka makampuni mbalmbali yanayofanya biashara ya samani (fenicha) kutoka nje.
Hali hii si tuu imedumaza ukuaji wa sekta ya samani hapa nchini bali imezuia ukuaji wa ajira na kipatoo kwa umma wa watanzania wanaojihusisha na biashara hii amabayo mali ghafi yake hupatikana kwa wingi hapa nchini.
Je bado ni halali serikali kuendelea na utaratibuu huu?? wapi TCCIA, TPSF, WIZARA YA VIWANDA, IKULU, OFISI YA WAZIRI MKUU kupiganiaa ununuzi wa wa samani za ndani ili kukuza ajira na kuongezaa kipato..
naomba mwenye data za kiasi cha fedha kitumiwacho kutokana na bajeti ya serikali kwa ajili ya ununuzi wa samani.
Kenya nakumbuka Mh Kibaki ametoa maelekezo ofisi zote za umma kununua samani kutoka JUA KALI GROUP na serikali iwezeshha kundi hilii katika kujiimarishaa kibiashara kwa kuwapatia mtaji..
Tanzaniaa tuko wapi?????
Hali hii si tuu imedumaza ukuaji wa sekta ya samani hapa nchini bali imezuia ukuaji wa ajira na kipatoo kwa umma wa watanzania wanaojihusisha na biashara hii amabayo mali ghafi yake hupatikana kwa wingi hapa nchini.
Je bado ni halali serikali kuendelea na utaratibuu huu?? wapi TCCIA, TPSF, WIZARA YA VIWANDA, IKULU, OFISI YA WAZIRI MKUU kupiganiaa ununuzi wa wa samani za ndani ili kukuza ajira na kuongezaa kipato..
naomba mwenye data za kiasi cha fedha kitumiwacho kutokana na bajeti ya serikali kwa ajili ya ununuzi wa samani.
Kenya nakumbuka Mh Kibaki ametoa maelekezo ofisi zote za umma kununua samani kutoka JUA KALI GROUP na serikali iwezeshha kundi hilii katika kujiimarishaa kibiashara kwa kuwapatia mtaji..
Tanzaniaa tuko wapi?????