Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wakati akiwa Mwanza kwenye kampeini za Chama chake Jakaya Kikwete alitoa ahadi ya Serikali yake kulipia pesa za nyanza zilizoibiwa karibu sh bilioni 5.
Je kwa sheria za uchaguzi hili haliwezi kuingia kwenye rushwa?
Je kwa sheria za uchaguzi hili haliwezi kuingia kwenye rushwa?