Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Dala dala - Wikipedia, the free encyclopediaWafanyabiashara binafsi wamekosa uaminifu, wamekuwa walafi na wakwepa kodi wakubwa. Baadhi wamenyonya sana wananchi na kujilimbikizia utajoro mkubwa huku wakitoa huduma duni sana.
Ingawa serikali huwa inashidwa hasa kwenye usimamizi, wakati umefika sasa wa either serikali ifanye huku ikiboresha usimamizi au kuwe na ubia wa 50/50 ili kuimarisha uendeshaji na usimamizi wa huduma kwa jamii.