Serikali kuingilia biashara ya usafirishaji kutaka kuboresha huduma ya treni sio haki

Serikali imefanya vizuri tuwa na mpango wa kufufua reli tena ni vizuri sana...yaani kitaalam hiyo ndio njia kuu na rahisi ya kusafirishia mizigo. Tena kwa bei nafuu kwa sababu tutapunguza matumizi yasiyo ya lazima ya barabara yetu na pia hata matumizi ya mafuta kwa malori yatashuka.

Ushauri wangu kwa rais na waziri ni kuwa wajitahidi waweke mfumo mzuri katika utaratibu wa reli (uongozi)ili mapato yawe hayapotei na matumizi yawe halisi na pia vipuri, vifaa mbalimbali vya train visiwe vinaibwa na watu...na pia usalama wa taifa wapewe kazi ya kuwa wanapeleleza juhudi za watu wowote kuujumu hiyo reli na shirika kwa ujumla.

Ikiwezekana serikali itafute consultant atakaye saidi kuwaandalia finance and operation manual...ya uhakika...na pia ikishaandaliwa kunakuwa hakuna longolongo ni kuifata kama ilivyo.....
 
nina mashaka na huyu mleta hoja kuna uwezekano mkubwa sana wakashirikiana na wenye dala dala kuhujumu huu usafiri ili waendelee kufanya biashara yao. kwanza mkuu usafri wa daladala ni huduma ya jamii na inatakiwa usiitegemee sana kwa kuwaumiza wananchi wenzako kwa nauli za ajabu ajabu mara abiria anapanda na kueguza nalo ilimradi tu apate siti na bado mnamlipisha tena upya halafu kwa wenzetu sio kuwa kila mtu akitaka kufanya biashara ya dala dala anafanya kuna kampuni kabisa ina magari yake ya kutosha na anakuwa amekubaliana nauli maalum na sio kuapndisha pandisha ovyo sio huku unakuta daladala mia tano wenye kumiliki mia tano sio sawa kabisa mkuu sio lazima ufanye baishara ya dala dala ndio utoke na sioni kama huo ni ubunifu wa kupata pesa zaidi ya kujitia milaana ya kuwatesa mama zako kwa kukimbilia magari na huku dereva na konda tunawaona miungu watu wanasimama tena wanaondoa gari ilimradi tu tukimbilie gari, acheni kabisa wananchi wa dar wamepata tabu sana kwa kweli hata hii ni hatua nzuri kabisa na inatakiwa kuungwa mkono wa wananchi wote. kama ulikopa bank kwa ajili ya dala dala akili mkichwa kuna fursa ya kilimo kwanza naamini itawafaeni huko.
 
Nimesikitishwa na uhamuzi wa Mh Mwakyembe.

wa kuanzisha usafiri wa trani jijini Dar es Salaam;

1. Hii ni serikali kuanza ukiritimba wa kufanya biashara ambayo ilishindwa toka kipindi kile.tunarudi socialism

2. Ni uhamuzi wa kisiasa zaidi badala ya kitaalamu (zima moto)

3.Kunenepesha matumbo ya watu fulani wkt wa tenda ya kusafirisha ; tunarudi kwenye MATATIZO YA UDA

4. Kuna watu wanamikopo ya biashara ya Daladala kwenye mabenki ; sijui watailipaje kutokana na kupato kupungua na abiria wenye kukimbilia usafiri wa trani.

5. Foleni inasababishwa na magari binafsi sio DALADALA; Sijui hizo takwimu wamezitoa wapi. wangetakiwa kufungu mageti ya kuingilia mjini kwa kucharge gari binafsi shillingi 5000; ili kudiscourage foleni.

6.Biashara ya mafuta itaongezeka kwa kuiba ya kwenye trani km tunavyo shuhudia

Kama biashara ya daladala ingekuwa ya kistaarabu hakuna abiria angepanda treni. Abiria wengi wamechoka kutukanwa na makonda na pia kuangalia makalio ya makonda. Buni utaratibu wa kuvutia abiria.
 
ila huu mradi usubiri POAC mpya, maana hii ya sasa wataanza kujipa tenda ya ku supply mafuta ya treni.
 
Daladala ndio chanzo kikubwa cha foleni kwa hapa Dar (If you think critically, of course)
Watu wameamua kutumia magari binafsi baada ya kuchoka na kero za daladala, yaani abiria wanapogombea kupanda utaona makonda wanavyofurahia. Tukipata usafiri wa uhakika (kama mpango wa Mwakyembe), magari binafsi mengi yatakuwa yanatumika kutokea out badala ya kuendea kazini kama inavyofanyika sasa. Kwanza inasaidia kupunguza gharama za mafuta na uchafuzi wa hali ya hewa kutokana na gesi inayotolewa na magari.
Kwa ufupi, tunahitaji watu wanaowaza na kutekeleza kauli zao kama Mwakyembe
 
Tembea uone Kaka india, pakstani, south africa na nchi kibao zinatumia treni kama njia rahisi ya usafiri wa watu wa chini kabisa sasa wewe umeshaanza majungu?
 
R.B: Kwani nilazima ufanye bihashara Dar Pekee !?

Kwa haraka wewe nitalazimika baadayekukuingiza katika kundi la " mmoja wa wale ambao mkotayari kumzika raia mwenzio akiwa hai kisa maslahi binafisi". Jitahidi kunishawishi nisikuweke kwenye kundi hilo kwa kujutia hayo uliyoandika.
 
Acha ushamba daladala ndio umeona biashara.wenzetu walioendelea wanatumia train ww unataka tuendelee kutumia daladala umechelewa mnasababisha foleni mna haraka kuliko mtu yeyote mnavunja sheria. Za barabarani mnatanua hovyo makondakta wachafu peleka huko ukabebe nyanya mikoa ajili yako finyu ya kuona daladala kama mwisho wa maisha yako ushindwe na ulegee serikali yetu makini ipo kazini sasa
 
Acha ushamba daladala ndio umeona biashara.wenzetu walioendelea wanatumia train ww unataka tuendelee kutumia daladala umechelewa mnasababisha foleni mna haraka kuliko mtu yeyote mnavunja sheria. Za barabarani mnatanua hovyo makondakta wachafu peleka huko ukabebe nyanya mikoa akili yako finyu ya kuona daladala kama mwisho wa maisha yako ushindwe na ulegee serikali yetu makini ipo kazini sasa
 
miaka ya nyumba niliwahi kufanya benki kitengo cha mikopo. mteja akaja akasema anataka kupanua biashara yake ya kupeleka ngozi nje hivyo anahitaji kama mkopo wa milioni 70 nikamuhoji mengi ikiwa ni taratibu za afisa mikopo lakini jibu la swali moja ndo lina fanana na wewe. hizo ngozi unapeleka kampuni gani india.... akajibu ni siri kwa sababu watu watajua na wao watapeleka soko litasumbua ukawa mwisho wa usahili.

sasa ndugu yangu hivi wewe unategemea kila siku waswahili wenzako waendelee kuumizwa na maisha kisa wewe unapata? naogopa kuandika nilichotamka kwenye akili yangu ila kwa lugha rahisi sana naweza kuzema think Big. nauli ya tweni kwenda kigoma haifiki 20,000 basi karibu 70,000 unategemea nini? acha ubinafsi anza kufikiria biashara nyingine

kwanza biashara ya daladala ni biashara ya wavivu wasiopenda kujiongeza.
wasiowezeka kutake risk kwenye biashara nyingine.

(keep in mind that some people can be fool some time but not all the time)
aliyekutuma mwambie hili wadanganyika wamestuka!
Mkuu hapo kwenye Red nadhani umekosea Sana na akili yako huna Tofauti na Punguani kwahiyo tuseme sie tunaofanya hii Biashara ni Wavivu dah! Una matusi ya Reja reja Sana nadhani hujawahi patwa na Kadhia ya Mgomo wa Dala dala watu wanateseka sana hadi wanasema ''PO'' Kama maisha Umeyapatia Tulia wenzako sie Tumeshaizoea hii Biashara na hatuachi vivu wako unapoona wengine wamepiga 4 Kuanzia Mornie usiku wanapokea Mpunga... inaonesha ulishawahi kuwa Dereva au konda wewe so Unahasira sana ya kutuletea Hesabu... Watu tuna Biashara Nyingi tu Mbona tena zingine ndio za Kivivu haswa... Peleka Umagamba wako Chamwino....
 
Nimesikitishwa na uhamuzi wa Mh Mwakyembe.

wa kuanzisha usafiri wa trani jijini Dar es Salaam;

1. Hii ni serikali kuanza ukiritimba wa kufanya biashara ambayo ilishindwa toka kipindi kile.tunarudi socialism

2. Ni uhamuzi wa kisiasa zaidi badala ya kitaalamu (zima moto)

3.Kunenepesha matumbo ya watu fulani wkt wa tenda ya kusafirisha ; tunarudi kwenye MATATIZO YA UDA

4. Kuna watu wanamikopo ya biashara ya Daladala kwenye mabenki ; sijui watailipaje kutokana na kupato kupungua na abiria wenye kukimbilia usafiri wa trani.

5. Foleni inasababishwa na magari binafsi sio DALADALA; Sijui hizo takwimu wamezitoa wapi. wangetakiwa kufungu mageti ya kuingilia mjini kwa kucharge gari binafsi shillingi 5000; ili kudiscourage foleni.

6.Biashara ya mafuta itaongezeka kwa kuiba ya kwenye trani km tunavyo shuhudia
Hiyo TRANI ni usafiri wa aina gani? Mnakuja nchini kwetu kutoka nchi jirani halafu mnataka kutupangia na jinsi ya kuishi!!

Uhamuzi= Uamuzi
Kupato = Kipato
Kufungu mageti= %#%%##!!!????
Nakushauri urudi Bujumbura au Congo ukajipange.

Nani alikuambia kwamba kulikuwa na matatizo wakati wa UDA?? Naomba mambo ya Tanzania mtuachie WATANZANIA WENYEWE. Endeleeni na biashara zenu za kutuletea Vitenge ili Mama zetu, Wake zetu na Dada zetu wapendeze,hayo ya kwetu mtuachie wenyewe.
 
Mkuu hapo kwenye Red nadhani umekosea Sana na akili yako huna Tofauti na Punguani kwahiyo tuseme sie tunaofanya hii Biashara ni Wavivu dah! Una matusi ya Reja reja Sana nadhani hujawahi patwa na Kadhia ya Mgomo wa Dala dala watu wanateseka sana hadi wanasema ''PO'' Kama maisha Umeyapatia Tulia wenzako sie Tumeshaizoea hii Biashara na hatuachi vivu wako unapoona wengine wamepiga 4 Kuanzia Mornie usiku wanapokea Mpunga... inaonesha ulishawahi kuwa Dereva au konda wewe so Unahasira sana ya kutuletea Hesabu... Watu tuna Biashara Nyingi tu Mbona tena zingine ndio za Kivivu haswa... Peleka Umagamba wako Chamwino....

acha hasira namtetea jamaa aliyesema nyie ni wavivu kwa maana ya kua hamna ubunifu kibiashara yaani wavivu wa kufikiria kibiashara...watz wanapenda sana umwinyi badala ya kua maentrepreneur wa kweli..mtu unakuta ana dala dala 4, frame mbili tatu, bajaji 5, lori la mchanga moja anachukua hela kila wiki anajiita mfanyabiashara. huu ndiyo uvivu wa kibiashara (siyo uvivu wa kimaisha ila wa kibiashara).
 
mto mada kama vile kapata glass moja ya supu mawe au gongo asbh
watu wanataka usafiri imara na wa kuaminika
treni na mabasi ayendayo kasi ni ukombozi endapo yatamilikuwa na serikali
nchi nyingi duniani usafiri wa mijini ni wa umma na ni wa kuaminika
tumechoka kutegema vipanya mwitu mijini sasa. mjomba pekeka daladala zako mwisho wa reli
watu bwana kila tukitaka kuanzisha jambo jema wao wanapinga.
 
Nimesikitishwa na uhamuzi wa Mh Mwakyembe.

wa kuanzisha usafiri wa trani jijini Dar es Salaam;

1. Hii ni serikali kuanza ukiritimba wa kufanya biashara ambayo ilishindwa toka kipindi kile.tunarudi socialism

2. Ni uhamuzi wa kisiasa zaidi badala ya kitaalamu (zima moto)

3.Kunenepesha matumbo ya watu fulani wkt wa tenda ya kusafirisha ; tunarudi kwenye MATATIZO YA UDA

4. Kuna watu wanamikopo ya biashara ya Daladala kwenye mabenki ; sijui watailipaje kutokana na kupato kupungua na abiria wenye kukimbilia usafiri wa trani.

5. Foleni inasababishwa na magari binafsi sio DALADALA; Sijui hizo takwimu wamezitoa wapi. wangetakiwa kufungu mageti ya kuingilia mjini kwa kucharge gari binafsi shillingi 5000; ili kudiscourage foleni.

6.Biashara ya mafuta itaongezeka kwa kuiba ya kwenye trani km tunavyo shuhudia


Kaka hakuna ubishi hapa kuwa na wewe nini mdau wa viidaladala......,nataka tu niikuambie kua dunia nzima sekta ya usafiri hundeshwa na makampuni makubwa na sio watu wenye dala dala mbilii .....wanaosubirii pesa na misuuli Yao nje Hadi dereva arudi...
all in all Huu mradi wa treni sio mzuri sana ...Lakini afadhali ....na mradi a mabasi uukianza basi wenye dala dala mbili mmekwisha ...dawa unganeni fuungueni makampuni makubwa
 
Nimesikitishwa na uhamuzi wa Mh Mwakyembe.

wa kuanzisha usafiri wa trani jijini Dar es Salaam;

1. Hii ni serikali kuanza ukiritimba wa kufanya biashara ambayo ilishindwa toka kipindi kile.tunarudi socialism

2. Ni uhamuzi wa kisiasa zaidi badala ya kitaalamu (zima moto)

3.Kunenepesha matumbo ya watu fulani wkt wa tenda ya kusafirisha ; tunarudi kwenye MATATIZO YA UDA

4. Kuna watu wanamikopo ya biashara ya Daladala kwenye mabenki ; sijui watailipaje kutokana na kupato kupungua na abiria wenye kukimbilia usafiri wa trani.

5. Foleni inasababishwa na magari binafsi sio DALADALA; Sijui hizo takwimu wamezitoa wapi. wangetakiwa kufungu mageti ya kuingilia mjini kwa kucharge gari binafsi shillingi 5000; ili kudiscourage foleni.

6.Biashara ya mafuta itaongezeka kwa kuiba ya kwenye trani km tunavyo shuhudia


Wafanyabiashara binafsi wamekosa uaminifu, wamekuwa walafi na wakwepa kodi wakubwa. Baadhi wamenyonya sana wananchi na kujilimbikizia utajoro mkubwa huku wakitoa huduma duni sana.

Ingawa serikali huwa inashidwa hasa kwenye usimamizi, wakati umefika sasa wa either serikali ifanye huku ikiboresha usimamizi au kuwe na ubia wa 50/50 ili kuimarisha uendeshaji na usimamizi wa huduma kwa jamii.
 
Nimesikitishwa na uhamuzi wa Mh Mwakyembe.

wa kuanzisha usafiri wa trani jijini Dar es Salaam;

1. Hii ni serikali kuanza ukiritimba wa kufanya biashara ambayo ilishindwa toka kipindi kile.tunarudi socialism

2. Ni uhamuzi wa kisiasa zaidi badala ya kitaalamu (zima moto)

3.Kunenepesha matumbo ya watu fulani wkt wa tenda ya kusafirisha ; tunarudi kwenye MATATIZO YA UDA

4. Kuna watu wanamikopo ya biashara ya Daladala kwenye mabenki ; sijui watailipaje kutokana na kupato kupungua na abiria wenye kukimbilia usafiri wa trani.

5. Foleni inasababishwa na magari binafsi sio DALADALA; Sijui hizo takwimu wamezitoa wapi. wangetakiwa kufungu mageti ya kuingilia mjini kwa kucharge gari binafsi shillingi 5000; ili kudiscourage foleni.

6.Biashara ya mafuta itaongezeka kwa kuiba ya kwenye trani km tunavyo shuhudia
ukidiscourage magari binafsi hizo public transport zinatosha kuhudumia watu wote na unajiridhisha hivyo? au mwenzetu unapenda na unatamani na wenzho wapende kupita madirishani au kunukishana vikwapa?
 
Hiki kiazi sijui kinasema nini? yaani unataka wananchi wendelee kupangwa kama dagaa kwenye vipanya na midaladala hiyo isiyo na viwango hiyo
 
Back
Top Bottom