KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
WanaJF mambo vipi?,natumai mu wazima.
Nimeshindwa kuelewa wanajf wenzangu huu mlolongo wa madudu unaofanywa na baadhi ya viongozi waliopewa dhamana ya kuongoza maamuzi yaliyo sahihi kutokuwa na uzalendo na nchi yao.Hivi BOT wanatudhihirishia kuwa sisi ni matajiri sana wa kuchapisha matoleo mbalimbali ya fedha? Tukiwa tunatumia thamani moja ya fedha yenye miundo miwili tofauti?? na kama walilolifanya ni sahihi mbona wameshindwa kuweka kikomo cha matumizi ya hizi pesa za zamani?ambazo ndizo(orijino) PIA BOT WAMETULETEA UMASIKINI MKUBWA:Nasema hivyo kwa sababu ndani nina pesa hizi mpya zenye thamani ya sh 35,000 nilikwenda nazo benki ya CRDB,NMB kudepost lakini walizikataa ukiwauliza sasa hizi nitazipeleka wapi hawakuelezi tena wanakuambia wamekatazwa na benki kuu kuzichukua sasa najiuliza kwa mwendo huu wa 10% si tutaitundika nchi juu ya mti?.
Nimeshindwa kuelewa wanajf wenzangu huu mlolongo wa madudu unaofanywa na baadhi ya viongozi waliopewa dhamana ya kuongoza maamuzi yaliyo sahihi kutokuwa na uzalendo na nchi yao.Hivi BOT wanatudhihirishia kuwa sisi ni matajiri sana wa kuchapisha matoleo mbalimbali ya fedha? Tukiwa tunatumia thamani moja ya fedha yenye miundo miwili tofauti?? na kama walilolifanya ni sahihi mbona wameshindwa kuweka kikomo cha matumizi ya hizi pesa za zamani?ambazo ndizo(orijino) PIA BOT WAMETULETEA UMASIKINI MKUBWA:Nasema hivyo kwa sababu ndani nina pesa hizi mpya zenye thamani ya sh 35,000 nilikwenda nazo benki ya CRDB,NMB kudepost lakini walizikataa ukiwauliza sasa hizi nitazipeleka wapi hawakuelezi tena wanakuambia wamekatazwa na benki kuu kuzichukua sasa najiuliza kwa mwendo huu wa 10% si tutaitundika nchi juu ya mti?.