Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakauwa anazungumzia tukio la hivi karibuni. Anawapongeza kwa kutumia busara ya kutokutumia nguvu ya ziada kama kufyatua risasi za moto hivyo kuua/kujeruhi waandamanaji.Hivi ni kweli polisi hawa wanastahili pongezi? Ni pongezi kwa lipi walilofanya, wakati tunaambiwa jumla ya makanisa 25 yamepigwa kibiriti toka mwaka 2001? Polisi hawa wamekuwa wapi hadi matukio haya yanatokea? Je ni kweli polisi hawana intelijensia ya kuangalia viashirio vya uvunjifu wa amani? Au wanasubiri hadi waone moto unawaka ndio wanachomoza na kurusha moshi wa machozi?
Amechelewa. Makanisa hayakuanza kuchomwa juzi na wanaUAMSHO, miaka yapata 10 sasa yanachomwa, lakn kama kawaida ya serikali zetu mbili, kimyaaaa!
Sasa hii kitu ndio haifai
Wanapaswa wavunje ukimya badala ya kungoja kupongeza watu au kutoa rambirambi kwa wafiwa!