Lord K
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 213
- 37
Kila mgomo Tanzania siyo halali, ukiwa wa wanafunzi vyuoni,walimu,madaktari na pia maandamano yoyote yanayodai au kuonyesha udhaifu wa serikali pia nayo tunaambiwa ni kinyume na sheria hasa yakiwa ya CHADEMA au WANAHARAKATI,tamwa,WANAVYUO nk, tena usiombe suala lolote la wanyonge lifike mahakamani....lazima serikali ishinde... ila sasa,kwenye miradi ya mafisadi kana DOWANS n.k Serikali inashindwa kesi....kuna nini hapa sielewi.