Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
Tunajua sote serikali ni pamoja na Polisi.
Leo asubuhi makutano ya barabara ya AH Mwinyi na barabara ya Rose Garden nimeikuta "Serikali" imekwenda usingizi , tena mzito hata wapita njia walikuwa wakishangaa.
IGP Mwema inabidi aongeze mafunzo huko Moshi ili Crown isi dhalilishwe.
Inaelekea kutokana na vihela vya madereva barabarani, vijana hawalali usiku, katika jitihada za kuvishughulikia vihela hivyo.
Leo asubuhi makutano ya barabara ya AH Mwinyi na barabara ya Rose Garden nimeikuta "Serikali" imekwenda usingizi , tena mzito hata wapita njia walikuwa wakishangaa.
IGP Mwema inabidi aongeze mafunzo huko Moshi ili Crown isi dhalilishwe.
Inaelekea kutokana na vihela vya madereva barabarani, vijana hawalali usiku, katika jitihada za kuvishughulikia vihela hivyo.