Serikali inahaha kumtafuta alau mtu wa kuvaa koti jeupe anekane daktari

mayoscissors

JF-Expert Member
Nov 24, 2009
975
471
Inasikitisha sana serikali yetu isiyo makini kiasi kwamba inawachukua medical students wapite mawodini ili public ijue hamna mgomo.Leo muhimbili kazi hamna na wananchi wenyewe watasema hata kama vyombo vya habari vimekatazwa kutangaza habari za mgomo.Naishauri serikali itoe pamba masikioni amasivyo itangoka na wazalendo kuendesha nchi.
 
Udhaifu ndio huo!kwenye mgomo w walimu sijui watatafuta fimbo na chaki?dhaifu bhana,ni dhaifu tu.
 
Wanawapa kamati ya katiba Tsh 450,000 kwa siku kila mjumbe. Hii ni haki kweli-hatuvai mjoho mpaka kieleweke
 
wabunge wakilalamika posho wanaongezewa...madaktari walimu wakilalamika wanakaa kimya...juzi nilipita kituo cha polisi cha oysterbay nikaona zile nyumba za polisi pale kiliniuma sana kuona binadamu ambao wanatakiwa watulinde sisi na mali zetu wanaishi sehemu zile. Ndio maana mapolisi wengine wanaamua kuchukua rushwa au kuwa majambazi maana hali ni ngumu.

Nawapeni mfano, angalia ofisi mpya za serikali zinavyojengwa, angalia nyumba za mawaziri kule oysterbay/masaki. Je kweli serikali inashindwa kuwajengea polisi nyumba zenye hali nzuri wakaishi na familia zao kama binadamu wengine wa kawaida?
 
Serikale haibabaishwi ba vidaktari uchwara hamna lolooote hata mgome mwaka wagonjwa watapona tUuu mlieee nyieeee
 
Serikale haibabaishwi ba vidaktari uchwara hamna lolooote hata mgome mwaka wagonjwa watapona tUuu mlieee nyieeee

ni kweli kabisa!serikali hamjali mwananchi au mtetezi wake.
hivi kwa nini serikali ilikurupuka kwenda mahakamani?
 
ni kweli kabisa!serikali hamjali mwananchi au mtetezi wake.
hivi kwa nini serikali ilikurupuka kwenda mahakamani?
Mkuu Jackbauer, Mopaozi anatibiwa nje ya nchi! hajui watu wengine wanatibiwaje, anasema hivyo kutetea watawala ili waendelee kutibiwa nje ya nchi!!
 
Tuna rais dhaifu sana, asiyejua ni yapi majukumu yake, amekaa pale ikulu kama zuzu tu, rais mnafiki na asiyekuwa na uchungu na Taifa lake. Inashangaza sana, juzi kwenye mauaji ya raia wa Denmark kule mbugani Serengeti JK alikuwa very fast kutoa executive directives kwa mawaziri wake (Kagasheki na Nchmbi), lakini kwa swala la msingi na muhimu kama hili la madaktari JK amekaa kimya, as if hakuna kinachotokea. JK hatufai kabisa watanzania, hafai kuendelea kututumikia sisi wananchi, mbaya zaidi, sisi wananchi tunaendelea kumuacha akifanya madudu yake tu. Tubadilike jamani, tuandamane tukamtoe pale ikulu, hawezi kutupiga risasi raia wote, afterall akileta mzaha ICC itakuya yake...
 
Tuwe wakweli waungwana..katika sekta inayonisikitisha hapa nchini ni ya afya..nenda hospitali za serikali..utakoma ubishi..kwanza wodi ni chafu na zinanuka( naomba radhi kam anitakua nimekosea) hakuna vipimo, hakuna madawa, hakuna wataalam wa kutosha..ukienda hospitali..hata ukiumwa ugonjwa gani...lazima wakupime malaria kwanza....hali ni mbaya sana..inanishangaza watu kukaa bungeni na kujadili bajeti ya matrilioni huku wakiisahau sekta ya afya...unataka kutawala wafu?? hamuoni kuwa kiongozi anakua bora kama akiwa na wananchi wenye afya?? vipi taifa litaendelea bila kuwa na watu wenye afya??? Kuna zaidi ya UHAI???? Hii nini kama si UUAJI??? siku moja nilikwenda mwananyamala , nikakuta foleni kubwa balaa unapima leo unaambiwa majibu kesho...haya kwenye dawa sasa..unakuta vilio vya watu..hawana pesa za kununulia dawa..unakuta mama kabeba mwanae amelala mgongoni...hoi..analia hana hata buku ya kununua dawa!!!! Hapo huko bungeni..watu wanadai oo sijui sekta ya afya sijui nini..porojo tu...hatuna viongozi..ni wauaji tu...Kazi kwenda ulaya kila siku na kupost trip zao wakiwa washington dc, uk wapi huko...Huyo mnaemsifia sijui zito sijui nani??? Ushawahi mwona akitembelea hata wodi moja ya wagonjwa??? kuangalia jinsi sekta ya afya ilivyoteketea??? watu wanakufa kwa kukosa matuibabu sahihi kila siku kwa mamia..asilimia kubwa ya magonjwa ya watanzania...inatokana na lishe duni pamoja na kuishi maisha hatarishi...kisa?? hali ngumu ya maisha...imesababishwa na nani??? Viongozi wote....si serikali wala wapinzani..wote wapenda anasa tu..hakuna afadhali...WAUAJI WAKUBWA NYIE!!!
 
Tuwe wakweli waungwana..katika sekta inayonisikitisha hapa nchini ni ya afya..nenda hospitali za serikali..utakoma ubishi..kwanza wodi ni chafu na zinanuka( naomba radhi kam anitakua nimekosea) hakuna vipimo, hakuna madawa, hakuna wataalam wa kutosha..ukienda hospitali..hata ukiumwa ugonjwa gani...lazima wakupime malaria kwanza....hali ni mbaya sana..inanishangaza watu kukaa bungeni na kujadili bajeti ya matrilioni huku wakiisahau sekta ya afya...unataka kutawala wafu?? hamuoni kuwa kiongozi anakua bora kama akiwa na wananchi wenye afya?? vipi taifa litaendelea bila kuwa na watu wenye afya??? Kuna zaidi ya UHAI???? Hii nini kama si UUAJI??? siku moja nilikwenda mwananyamala , nikakuta foleni kubwa balaa unapima leo unaambiwa majibu kesho...haya kwenye dawa sasa..unakuta vilio vya watu..hawana pesa za kununulia dawa..unakuta mama kabeba mwanae amelala mgongoni...hoi..analia hana hata buku ya kununua dawa!!!! Hapo huko bungeni..watu wanadai oo sijui sekta ya afya sijui nini..porojo tu...hatuna viongozi..ni wauaji tu...Kazi kwenda ulaya kila siku na kupost trip zao wakiwa washington dc, uk wapi huko...Huyo mnaemsifia sijui zito sijui nani??? Ushawahi mwona akitembelea hata wodi moja ya wagonjwa??? kuangalia jinsi sekta ya afya ilivyoteketea??? watu wanakufa kwa kukosa matuibabu sahihi kila siku kwa mamia..asilimia kubwa ya magonjwa ya watanzania...inatokana na lishe duni pamoja na kuishi maisha hatarishi...kisa?? hali ngumu ya maisha...imesababishwa na nani??? Viongozi wote....si serikali wala wapinzani..wote wapenda anasa tu..hakuna afadhali...WAUAJI WAKUBWA NYIE!!!
Mimi ndo nasema hivi, kama hii tabia ya sisi kwa sisi kutokujipenda itaendelea! ipo siku moja tutaanza kugawana kile wenzetu tunaoishi nao hapa hapa nchini bila kuangalia kazipata vipi. Haiwezekani binadamu mwenzako anakosa dawa ya elfu moja wewe unaitumia hiyo elfu moja pengine kwa kununulia chungwa moja au vyovyote harafu unashindwa hata kutengeneza mazingira mazuri ya huyo mtu basi afanye kazi aweze kugharamia huduma mhimu. Its nonesense!!
 
Hivi mnaopinga mnaenda kutibiwa kwenye hizo hospitali au mwaenda kwenye hizo za private? Jaribuni kuangalia hizo hospitali zinazoitwa za serikali kama mtakuta kitu au mjionee wenyewe vifo vya kizembe jamani pengine hamtakuja kutetea utumbo hapa.
 
Back
Top Bottom