mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Inasikitisha sana serikali yetu isiyo makini kiasi kwamba inawachukua medical students wapite mawodini ili public ijue hamna mgomo.Leo muhimbili kazi hamna na wananchi wenyewe watasema hata kama vyombo vya habari vimekatazwa kutangaza habari za mgomo.Naishauri serikali itoe pamba masikioni amasivyo itangoka na wazalendo kuendesha nchi.