dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
Kama ni kweli wewe anakuhusu niniMbowe ni Yuda esikarioti wa chadema
Kama ni kweli wewe anakuhusu niniMbowe ni Yuda esikarioti wa chadema
Loooooh! WaTanzania lipi jema kwetu? miaka yote tunalalamika kuwa serikali haina utashi wa kisiasa kuhamia Dodoma leo JPM amepata huo utashi badala ya kumpongeza tunalalamika wamekurupuka. Black people got problems, big problems.
Ili kukomesha unafiki inabidi rais wetu huyu mwema asubiri wakurupuke wote wahame,mwisho yeye abakie Dar..
Huko tuendako ni kubaya...
Walioweka mfumo wa utawala wa sheria na mgawanyo wa madaraka na majukumu walifanya hivyo kutokana na uzoefu na shida zilizopata kutokea
Nasikitika kusema kuwa tunachanja mbuga kuelekea vichakani na hatari ni kubwa kwakuwa vichaka vina mengi.
Sasa hivi hakuna mipango thabiti ya tulipo na tunakoelekea, akiongea tu Mkuu wa nchi serikali nzima inalipukia huko...tushukuru Mungu mpaka sasa hakuna matamko mabaya sana....lakini hatujui ya kesho...huwezi jua ataamka kesho aseme nini....!
Kwenye mkutano wa kukabidhiwa uenyekiti wa chama pale Dodoma mkuu aliweka nadhiri ya kuhamia Dodoma kabla ya kipindi chake cha kuongoza kwisha...bado ana miaka minne na miezi miwili.
Kilichofuatia ni matamko ya mlipuko toka kwa watendaji wake...waziri mkuu akasema atahamia Dodoma mwezi wa tisa, lakini jana waziri Chizeba (kilimo?)akasema yeye atahamia wiki jayo na magazeti yakalipuka na Chizeba ampiga bao waziri mkuu (sort of comedians).
Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma .
Mkuu wenu kasema akishahamia Dodoma wengine watafuata..! Sasa haraka ya nini? Sifa au nidhamu ya woga? Kumbukeni kuhamisha wizara ni tofauti kabisa na kuhamisha familia..!
Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo
Kwa hiyo nyie chadema hata hili la kuhamia Dodoma mnalipinga ??
Nakumbuka Mbowe na Lowasa wakati wakiomba kura Dodoma waliahidi serikali ya UKAWA itahamia Dodoma haraka Mara tu baada ya kuapishwa.
Je mlikuwa mnawadanganya watanzania??
Kwa unafiki wenu huu mnafaa kweli kuongoza hata mtaa??
Umesoma kwa makini nilichoandika lakini? Au umekurupuka tuu?
Kijana,epuka kumquote mtu kama hutambui na wala huelewi falsafa yake..Acha kujikomba, mwema umetumia kigezo gani kinachokubalika na watanzania wengi.
Unajua watu dhana nzima ya kuhamia Dodoma wengi hawajaielewa au wanajitia uchizi tu hao..Mkapa alishindwa baada ya kuletewa road map yenye bajeti ya kutisha akaahirisha...!Mshana jn, hoja yako ni nzito. Uamuzi wa kuhamia Dodoma ulifikiwa 1973 na waziri mkuu wa wakati huo, Rashidi Kawawa alinukuliwa na Daily News akisema, "The decision to move the govn't seat to Dodoma is irreversible". Mpaka hapo hakuna tatizo na pia isingekuwa mara ya kwanza serikali kuhama. Mwaka 1891 ilihamia Dar kutoka Bagamoyo. Kwa zaidi ya miaka 40 sasa watawala wamekuwa wanakumbuka suala la kuhamia Dodoma pale tu wanapokuwa Dodoma! (Labda kuna mtaji fulani wa kisiasa unapatikana kwa kufanya hivyo). Hakujawa na mikakati na mipango thabiti ya kuhamia Dodoma! Kwa mfano, ilimshinda nini Magufuli kufanya suala la kuhamia Dod katika miaka 5 ijayo agenda yake ya kampeni mwaka jana au hata kulizungumzia kwenye hotuba yake ya ufunguzi wa bunge ili baadaye lipangiwe bajeti? Tuchukulie kuna majengo tayari Dod kwa ajili ya wizara zote. Je hizo fedha (mabilioni) za kuhamisha maelfu ya wafanyakazi, familia zao na mizigo yao (personal effects) zitatoka wapi wakati tayari bajeti ya mwaka huu ina nakisi ya zaidi ya 45%?
Nimeshangazwa mno na baadhi ya replies nilidhani ugonjwa huu upo serikalini tu kumbe mpaka kwa wananchi tena wenye title za great thinkers
U
Iko hivi uhamisho wa serikali kwenda mahali parakapojulikana kama makao makuu ya nchi, ambapo shughuli na maamuzi mengi ya nchi yatafanyika
.Hapo ndipo wageni wote wa kitaifa na kimataifa watapokelewa ...Airport yetu inakidhi hiki kigezo? Eneo iliyopo kwa sasa ni sahihi ?
.wizara nyingi kwasasa zina ofisi ndogo je kuna mkakati gani wa kujenga ofisi kubwa zitakazotosheleza matumizi au ndio utarudi mtindo wa misururu kama zamani? Bajeti ya ujenzi je?
.Makao makuu ya jeshi TISS na polisi yako Dar bado hapo itakuwaje? Tukumbuke hizi ni organs very sensitive bila kusahau bank kuu nk
. Miundombinu ya Dodoma iliyopo kwasasa je inakidhi viwango vya kuwa na makao makuu ya nchi?
Narudia tena hatuhamishi familia tunagmhamisha kitu chenye impact kwa nchi na wananchi kwa ujumla
Kilichotakiwa ni mkuu wa nchi kuweka mpango mzima wa kuhamia Dodoma kisha kukabidhi wizara husika ama kutengeneza timu itakayotimiza hilo jukumu kwa muda utakaokubalika, kuongea tu kuwa utahama na watendaji nao kukurupuka kuhama ni tatizo kubwa kiutendaji
Hatuandiki haya kwa sababu ya UKAWA, bali kwa maslahi mapana ya nchi na dhana ya mgawanyo wa madaraka
Mkuu wa nchi asiwe ndio kila kitu ni hatari
Huko tuendako ni kubaya...
Walioweka mfumo wa utawala wa sheria na mgawanyo wa madaraka na majukumu walifanya hivyo kutokana na uzoefu na shida zilizopata kutokea
Nasikitika kusema kuwa tunachanja mbuga kuelekea vichakani na hatari ni kubwa kwakuwa vichaka vina mengi.
Sasa hivi hakuna mipango thabiti ya tulipo na tunakoelekea, akiongea tu Mkuu wa nchi serikali nzima inalipukia huko...tushukuru Mungu mpaka sasa hakuna matamko mabaya sana....lakini hatujui ya kesho...huwezi jua ataamka kesho aseme nini....!
Kwenye mkutano wa kukabidhiwa uenyekiti wa chama pale Dodoma mkuu aliweka nadhiri ya kuhamia Dodoma kabla ya kipindi chake cha kuongoza kwisha...bado ana miaka minne na miezi miwili.
Kilichofuatia ni matamko ya mlipuko toka kwa watendaji wake...waziri mkuu akasema atahamia Dodoma mwezi wa tisa, lakini jana waziri Chizeba (kilimo?)akasema yeye atahamia wiki jayo na magazeti yakalipuka na Chizeba ampiga bao waziri mkuu (sort of comedians).
Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma .
Mkuu wenu kasema akishahamia Dodoma wengine watafuata..! Sasa haraka ya nini? Sifa au nidhamu ya woga? Kumbukeni kuhamisha wizara ni tofauti kabisa na kuhamisha familia..!
Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo
Malimao huwa hayaliwiTanzania,na watanzania ni wapevu kimakwelikweli...! Serikali iliyochaguliwa na watanzania, inaakisi upevu wao...sasa tofauti ni kujiliwaza kwa "wafuasi", wa walioshindwa 25/12/2015!
...hakuna kukurupuka!
...serikali inahamia Idodomya kabla ya 2020, na asiefurahishwa na hilo, akale malimao!
kukurupuka hilo ndo tatizo kubwa LA sisi waafrika, mbona bunge halikupitisha mpango wa kuhamia Dodoma??Sijadili kutangulia Najadili dhana ya kukurupuka
miji hujengwa na maplaners architects na engineers, sidhani kama CDA wanao wataalamu wa kutosha???Huko tuendako ni kubaya...
Walioweka mfumo wa utawala wa sheria na mgawanyo wa madaraka na majukumu walifanya hivyo kutokana na uzoefu na shida zilizopata kutokea
Nasikitika kusema kuwa tunachanja mbuga kuelekea vichakani na hatari ni kubwa kwakuwa vichaka vina mengi.
Sasa hivi hakuna mipango thabiti ya tulipo na tunakoelekea, akiongea tu Mkuu wa nchi serikali nzima inalipukia huko...tushukuru Mungu mpaka sasa hakuna matamko mabaya sana....lakini hatujui ya kesho...huwezi jua ataamka kesho aseme nini....!
Kwenye mkutano wa kukabidhiwa uenyekiti wa chama pale Dodoma mkuu aliweka nadhiri ya kuhamia Dodoma kabla ya kipindi chake cha kuongoza kwisha...bado ana miaka minne na miezi miwili.
Kilichofuatia ni matamko ya mlipuko toka kwa watendaji wake...waziri mkuu akasema atahamia Dodoma mwezi wa tisa, lakini jana waziri Chizeba (kilimo?)akasema yeye atahamia wiki jayo na magazeti yakalipuka na Chizeba ampiga bao waziri mkuu (sort of comedians).
Tusubiri matamko zaidi toka kwa wengine usishangae hata wakuu wa mikoa na wilaya nao wakatoa matamko ya kuhamia Dodoma .
Mkuu wenu kasema akishahamia Dodoma wengine watafuata..! Sasa haraka ya nini? Sifa au nidhamu ya woga? Kumbukeni kuhamisha wizara ni tofauti kabisa na kuhamisha familia..!
Kuna mengi ya muhimu ya kufanya kwa sasa acheni hizo
Anatangulia peke yake au na wafanyakazi wake pale wizarani?Kwani kuna kosa gani mtu akihamua kutangulia?