Serikali imemaliza maandalizi ya riot, isije kukamata watu kwa makosa ya uhaini.

Consigliere

JF-Expert Member
Sep 9, 2010
12,037
24,595
Malalamiko mapya yameibuka kwa wafanyakazi wa idala tofauti za serikali. Malalamiko hayo ni juu ya makato ya mishahara ya watumishi.
Imethibitika hivyo baada ya watumishi kukuta mapungufu katika mishara yao ya mwezi huu, na walipojaribu kuwasiliana na DED's kwa ufafanuzi waliambiwa kuwa walipewa maagizo hayo kupitia maafisa uajiri kuwa mishara ipunguzwe kwa wote ambao waliongezewa kwa sababu tofauti kwa kigezo kuwa nyongeza hizo zilifanywa kimakosa.

Hapa ndipo najiuliza kuhusu utendaji wa wakubwa hawa wa serikalini kama una make any sense.
Ieleweke kuwa uongezwaji wa mishahara ulifuata taratibu zote kama ilivyoanishwa kisheria lakini hili la ku-suspend ongezeko hilo limekuja as a suprise, na kuonekana kama kituko cha kihistoria kwa mshahara wa muajiriwa mwenye vigezo kupunguzwa badala ya kuongezeka.
Ni jambo la kichonganishi lenye kuchokoza hisia na kudunisha hadhi za watumishi, na ndipo ninapo thubutu kusema serikali imemaliza kufanya maandalizi ya 'riot' na isijekutafuta wa kuwatupia makosa ya 'uhaini'.
 
Back
Top Bottom