nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Miezi 3 ijayo inahisiwa 1 USD($) =TZS 2,500 Ambapo moja ya athari kubwa itakuwa ni kupanda kwa bei ya bidhaa mbalimbali kunakotokana na kushindwa kwa sera za kiuchumi ya serikali ya Kikwete.
Serikali imekua ikiimba nyimbo za kuimarisha uchumi bila kuchukua hatua madhubuti.
Poa kama hamtajali tujiandae kuwapinga watawala hawa wa ccm kwakila hali kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Ngoja nikanunue Mkate wangu na Sukari .
Serikali imekua ikiimba nyimbo za kuimarisha uchumi bila kuchukua hatua madhubuti.
Poa kama hamtajali tujiandae kuwapinga watawala hawa wa ccm kwakila hali kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Ngoja nikanunue Mkate wangu na Sukari .