Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Serikali imekiri kulemewa na idadi kubwa ya wasomi kuliko fursa za ajira zilizopo. Kauli ilitolewa Dar es Salaam jana na waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka, wakati wa uzinduzi wa wiki ya Mifuko ya Hifadhi za Jamii kuelekea Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika. (Chanzo cha Habari; Gazeti la Tanzania Daima; 09/11/201