Kwa wafanyabiashara wengi wa biashara ndogo na za kati watakubaliana nami kuhusu upatikanaji wa sarafu za sh 100 na sh 50.
Kwa kweli tunaiomba serikali itengeneze hizo sarafu kwani tunapata taabu sana ktk biasha tunazofanya,
serikali iache udhaifu kwa kushindwa kutengeneza sarafu mpya!
Haipendezi sana kupuuzia hizi sarafu.
Kwa kweli tunaiomba serikali itengeneze hizo sarafu kwani tunapata taabu sana ktk biasha tunazofanya,
serikali iache udhaifu kwa kushindwa kutengeneza sarafu mpya!
Haipendezi sana kupuuzia hizi sarafu.