Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,738
- 155,424
Gari la Naibu Waziri likitangaza vivutio vya utalii Shelisheli.
Jamani kama kapewa zawadi ya tyre cover afanye nini
Jamani kama kapewa zawadi ya tyre cover afanye nini
hivi magari mengine huwa hayafai kwa matumizi ya wakubwa wetu......
Kuna malandrover, nissan 4wd nzuri tu na mengineyo mengi.....kwani ni lazima iwe LC vx, gx au aina ya hizo....?
au na hiyo ipo kwenye katiba.....?
Jamani kama kapewa zawadi ya tyre cover afanye nini
Kwani kukataa haruhusiwi??
mafisadi hawa wote an sitashangaa huyu waziri ana hisa kwenye kampuni la utalii linalopeleka watu huko...hii ni skendoo ya kujiuzulu kabisa hana uzalendo huyu mwizi na hawa ndio wanaosafirisha twiga wetuGari la Naibu Waziri likitangaza vivutio vya utalii Shelisheli.
Matukio haya mbona ni mengi hapa Bongo! Nakumbuka Mahita alipokuwa IGP aliwahi kuvaa kofia ya NYPD (New York Police Dept.) alipokuwa asst. referee (linesman) ktk mechi kati wabunge na mabalozi wa nchi za nje waliokuwa wanawakilisha nchi zao Tz.
kama unakumbuka bwana mmoja alikuwa akiitwa Peter Kinyanjui (kama sikosei) enzi za Mh. Mrema, huyu jamaa alijipenyeza mpaka akawa katibu wa FAT (by now TFF) mpaka alipokuja kustukiwa.mafisadi hawa wote an sitashangaa huyu waziri ana hisa kwenye kampuni la utalii linalopeleka watu huko...hii ni skendoo ya kujiuzulu kabisa hana uzalendo huyu mwizi na hawa ndio wanaosafirisha twiga wetu
Matukio haya mbona ni mengi hapa Bongo! Nakumbuka Mahita alipokuwa IGP aliwahi kuvaa kofia ya NYPD (New York Police Dept.) alipokuwa asst. referee (linesman) ktk mechi kati wabunge na mabalozi wa nchi za nje waliokuwa wanawakilisha nchi zao Tz.
hiyo avatar inatisha kama jiniJamani kama kapewa zawadi ya tyre cover afanye nini