African American
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 165
- 62
Kila nikifungua gazeti au kuangalia tv, mara rais kafungua fnb benki, mara makamu wa rais kakata utepe kufungua tawi la nmb(kama ilivyooneshwa leo kwenye gazeti la mwananchi), mara utamuona maalim seif naye akizindua nini sijui!agghhh. Watanzania wanakufa kutokana na mgomo wa madaktari wao wanadhani ni kazi ya maana sana kutembea na mikasi mifukoni kukata utepe!