Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Nguvu ya watu iko pale pale msipojibu hoja za CDM, eti kwa kutumia dola mtaipeleka nchi pabaya sana. Mnachotakiwa ni kujibu hoja zao ili kuweza kuridhisha wananchi, cha kujiuliza ni hiki hapa, kama wananchi wangekuwa wanawasikiliza nyie basi wangejaaa saana kwenye mikutano yenu na wasingeenda kuwasikiliza CDM. Hii inadhihirisha kuwa CDM wanakubalika saana kuliko nyie. hivyo katika hili msikurupuke kumtumia mtu kama tendwa kutishia kukifuta CDM, Nawahakikishia leo Tendwa akisema nakifuta CDM siku hiyo hiyo maandamano ya nchi nzima yataanza.
Hivyo fikirieni kabla ya kutenda, sihitaji consultation fee kwa hili nimewapa bure serikali.
Hivyo fikirieni kabla ya kutenda, sihitaji consultation fee kwa hili nimewapa bure serikali.