- Thread starter
- #41
Asante Kwa ushauri mkuu nitaufanyia kazi Tuombe Fadhila za Mungu.Mi nimeipenda sana iko poa njia hii maana hata akifungwa miaka 30bado atapewa mimba tena na mtu mwingne,mi ningeshauli ulieleta huu uzi moja kw moja 2020 chukua form ugombeee ubunge kwenye jimbo lako ss wanajf tutakueezesha baba.