wasaimon
R I P
- Oct 6, 2010
- 220
- 45
Mbunge akipigiwa KURA na wananchi husika ndo anakuwa na morali ya kazi yake..pesa wacha zitumike kwani ni halali ya watz na pesa ni zao, ndo matumizi ya pesa hayo. Tusifanye uchaguzi mdogo kwa ajili ya kuokoa gharama hapo ndo ameona pana matumizi makubwa ya fedha? Labda angesema tupunguze gharama za chaguzi lakini sio kurithishana.