Mi ndo maana huwaga nawaambia watu tuache kushabikia siasa na ile nyumba ya sanaa(bunge), sasa mnaona faida yake. Bajeti imepitishwa kwa mbwembwe na gharama kubwa, only kujulikana pesa yenyewe - real money, haipo. Kitachofuata ni kuprint noti mpya kaa Mugabe. Hatua ya kwanza ya kutatua tatizo ni kukubali kuwa unalo tatizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.