Masakata
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 374
- 137
Kati ya mambo yanayotukera wenyeji wa jiji hili la Dar,ni foleni ya magari,,yani ni KERO kubwa sana,..nikiwa mmoja ya waathirika wa hili janga naishauri serikali kufanya yafuatayo ili kupunguza walau hii foleni
1.Hili eneo la Tanganyika Packers lichukuliwe na serikali na zijengwe ofisi za kutosha na kuwepo huduma zingine za kijamii kama mabenki,hospitals n.k ili kupunguza wimbi la watu kwenda city centre,napendekeze eneo hili kwa kuwa kwanza ni eneo kubwa na halitumiki kusaidia sana jamii,,pia linaweza kupanuliwa kirahisi kwa kujichukua nyumba zilizo karibu kwa kuwalipa wamiliki fidia ambazo naamini hazitokuwa kbwa kutokana na hadhi ya nyumba zenyewe
b.Pili,ni eneo linaloweza kufikika kirahisi kwani njia hizi mbili, i mean New and old Moro rd zinapita karibu na eneo hili(hasa hii old)
c..Kuna watu wengi sana wanaotumia magari binafsi toka ukando huo mf Tegeta, Mbezi, Kunduchi, Boko, Bunju, so hawa watu wakipatiwa huduma kama ofisi wengi wao hawatokuja mjini na hivyo kupunguza foleni
2.Jambo la pilli, ni kutmika kwa reli ya kati kuleta abiria wa meeneo ya mjini, kuanzia Pugu ,na hili linawezekana ikiwa stesheni (headoffice itahamishwa kwenda Pugu, hivyo wasafiri wa treni wawe wanaenda pandia hukohuko pugu.
So kipande toka Pugu kiwe kwa ajili ya kushaffirisha watu wa Dar tu na treni za mizigo tena hizi za mizigo ziwe zinasafiri usiku tu ili kuruhusu usafiri wa watu mchana
3.Mwisho matumizi ya technologia sahihi ya taa za barabarani,..kwa uelewa wangu hivi sasa kuna program za kueziendesha taa za barabara kwa kuanagalia upande gani kuna foleni, hivyo kutoa upendeleo flani kwa upande huo, jaribuni kuwasiliana na wataalamu wa DIT na watz wengine.
Nawasilisha
1.Hili eneo la Tanganyika Packers lichukuliwe na serikali na zijengwe ofisi za kutosha na kuwepo huduma zingine za kijamii kama mabenki,hospitals n.k ili kupunguza wimbi la watu kwenda city centre,napendekeze eneo hili kwa kuwa kwanza ni eneo kubwa na halitumiki kusaidia sana jamii,,pia linaweza kupanuliwa kirahisi kwa kujichukua nyumba zilizo karibu kwa kuwalipa wamiliki fidia ambazo naamini hazitokuwa kbwa kutokana na hadhi ya nyumba zenyewe
b.Pili,ni eneo linaloweza kufikika kirahisi kwani njia hizi mbili, i mean New and old Moro rd zinapita karibu na eneo hili(hasa hii old)
c..Kuna watu wengi sana wanaotumia magari binafsi toka ukando huo mf Tegeta, Mbezi, Kunduchi, Boko, Bunju, so hawa watu wakipatiwa huduma kama ofisi wengi wao hawatokuja mjini na hivyo kupunguza foleni
2.Jambo la pilli, ni kutmika kwa reli ya kati kuleta abiria wa meeneo ya mjini, kuanzia Pugu ,na hili linawezekana ikiwa stesheni (headoffice itahamishwa kwenda Pugu, hivyo wasafiri wa treni wawe wanaenda pandia hukohuko pugu.
So kipande toka Pugu kiwe kwa ajili ya kushaffirisha watu wa Dar tu na treni za mizigo tena hizi za mizigo ziwe zinasafiri usiku tu ili kuruhusu usafiri wa watu mchana
3.Mwisho matumizi ya technologia sahihi ya taa za barabarani,..kwa uelewa wangu hivi sasa kuna program za kueziendesha taa za barabara kwa kuanagalia upande gani kuna foleni, hivyo kutoa upendeleo flani kwa upande huo, jaribuni kuwasiliana na wataalamu wa DIT na watz wengine.
Nawasilisha