SERIKALI dawa ya MIGOMO hii hapa!

varavara

JF-Expert Member
May 29, 2012
605
484
kwa faida ya wananchi,serikali inatakiwa kujifunza namna ya kuepuka kutokea kwa migomo: chanzo chanzo cha migomo nini? serikali lazima ijue chanzo cha tatizo na kulitatua mapema sana(kinga ni bora kuliko tiba):matokeo ya tatizo(migomo) serikali inaangalia zaidi matokeo ya tatizo badala ya kutafuta chanzo na kutafutia ufumbuzi mapema kuepusha mtafaruku.NB: watanzania sasa wanaelewa,wanaelimika,wanafuatilia mienendo ya serikali kwa hiyo SERIKALI ya CCM kwa sasa inaugua mahututi, mpaka 2015 itakufa kabisa!
 
wakae kwenye mazungumzo watatue na mgomo uishe,wasitunishiane misuri,wanaoumia ni rahia masikin
 
kwa hiyo kama serikali ikigundua tatizo la wafanyakazi wake ni mishahara midogo, iwajaze mipesa mapema kabla hawajagoma. Lakini utashangaa pamoja na kugundua tatizo ni mishahara midogo, lakini serikali imekataa kuwajaza mipesa madaktari ili wasiendelee kugoma. Au hii serikali inapenda migomo?
 
kwa faida ya wananchi,serikali inatakiwa kujifunza namna ya kuepuka kutokea kwa migomo: chanzo chanzo cha migomo nini? serikali lazima ijue chanzo cha tatizo na kulitatua mapema sana(kinga ni bora kuliko tiba):matokeo ya tatizo(migomo) serikali inaangalia zaidi matokeo ya tatizo badala ya kutafuta chanzo na kutafutia ufumbuzi mapema kuepusha mtafaruku.NB: watanzania sasa wanaelewa,wanaelimika,wanafuatilia mienendo ya serikali kwa hiyo SERIKALI ya CCM kwa sasa inaugua mahututi, mpaka 2015 itakufa kabisa!

For Sure.
 
hapa burundi tu dr analipwa USD 1,500.....hv huyu wa tz tungempa gross ya 2million,isingewezekana??
 
tumezoea kuzima moto sana.ukifuatilia utagundua chanzo cha mgomo huu wa madaktari kimekuwa ni kilekile miaka yote na mbinu za serikali ni kuahirisha tatizo.
 
mtowa mada mi wasiwasi wangu pengine hata 2015 wasifike wanaweza kufa hapa katikati kabla ya 2015 guvu ya uma ikawatoa
 
Back
Top Bottom