Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
kuna zoezi linaendelea la wakuu wa mikoa kutakiwa kutoa taarifa juu ya hali ya mgomo nchini.kuna maeneo ambayo yanaripoti hakuna mgomo lakini uhalisia hauko hivyo.wakuu hawa wa mikoa hawatoi takwimu sahihi hivyo nawashauri wapeleke takwimu sahihi