Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za mwizi ni arobaini hkuna cha mganga wala mganguzi. Wapo watu wanaiba na hirizi mdomoni hawakamatwi lakini siku zao zikifika huwa wanapigwa mpaka wanazitapika hizo hirizi zao. Arobaini za RA ziko njiani.Naona tumakaa sana bila kumkumbuka mtanzania mwenzetu ndugu yetu rafiki yetu kipenzi mh rostam aziz;kwa kweli katika mapito anayopitia kelele zote hizi na wizi wote alioufanya kwenye kagoda kufikia kuwafumba hata macho waziri mkuu na raisi wake na kumchanganya pinda kukimbilia kwenye deci;kwa kweli ushauri wangu mganga unayemtumia usimwache;na nina uhakika katika zile pikipiki pale bagamoyo zinazopeleka watu kwa waganga mganga wako hayumo...lazima utakuwa mwenyewe na kama kweli mstaarabu jaribu kwasaidia ndugu zako wakina mramba na yona na nduguyo mgonja wajikwamue kwa hili;mahakimu wahindwe hata kufukiria kesi zao;
watanzania tuendelee kusali hawa wanaootumia nguvu za giza ipo siku zitashindwa na uchafu utazidi kujulikana
Si jambo la kushangaza kuwa wengine karibu wote wameguswa - kuanzia Mramba hadi Liyumba (angalau wamefika mahakamani) lakini Rostam Azizi ambaye ametajwa kwenye EPA, Kagoda, Dowans, na kwingine kote bado anadunda tu mtaani.
Ukichukulia mashitaka yaliyofunguliwa dhidi ya kina Mramba na kile ambacho serikali imekuwa inasema au kusita kusema kuhusu EPA, Kagoda na Dowans. Na pia ukichukulia PR inayoendeshwa sasa hivi kwa niaba ya Rostam Azizi kwa kutumia ofisi muhimu za serikali na CCM, si jambo la kushangaza kuwa Kikwete na Rostam bado wana nguvu yote ya kujaribu kudaganya uma wa watanzania kuwa serikali ya CCM inajisafisha (inapigana) na ufisadi.
Sio kwa sababu ya udini kama ambavyo baadhi ya watu hapa wamekuwa kwa muda sasa wakidai (kuwa ubaguzi wa kidini ulichangia sana kwa kilichotokea dhidi ya Mramba, Mgonja na Yona huku Rostam Azizi akipeta), Kikwete na Rostam ni marafiki wakubwa na ufisadi wote wa Rostam unamnufaisha Raisi Kikwete moja kwa moja.
Katika hili, wanaosubiria kumuona Rostam akichukuliwa sheria kwa uhusika wa moja kwa moja kwenye EPA, Kagoda na Dowans nk, wana muda mrefu sana wa kufanya hili.
Kikwete na Rostam Azizi ni pete na chanda - ufisadi wa Rostam Azizi ulimweka Kikwete ikulu na utaendelea kumweka madarakani huku pia ukimnufaisha Kikwete na familia yake binafsi kwa miaka mingi sana ijayo.
habari ndiyo hiyo.
Si jambo la kushangaza kuwa wengine karibu wote wameguswa - kuanzia Mramba hadi Liyumba (angalau wamefika mahakamani) lakini Rostam Azizi ambaye ametajwa kwenye EPA, Kagoda, Dowans, na kwingine kote bado anadunda tu mtaani.
Ukichukulia mashitaka yaliyofunguliwa dhidi ya kina Mramba na kile ambacho serikali imekuwa inasema au kusita kusema kuhusu EPA, Kagoda na Dowans. Na pia ukichukulia PR inayoendeshwa sasa hivi kwa niaba ya Rostam Azizi kwa kutumia ofisi muhimu za serikali na CCM, si jambo la kushangaza kuwa Kikwete na Rostam bado wana nguvu yote ya kujaribu kudaganya uma wa watanzania kuwa serikali ya CCM inajisafisha (inapigana) na ufisadi.
Sio kwa sababu ya udini kama ambavyo baadhi ya watu hapa wamekuwa kwa muda sasa wakidai (kuwa ubaguzi wa kidini ulichangia sana kwa kilichotokea dhidi ya Mramba, Mgonja na Yona huku Rostam Azizi akipeta), Kikwete na Rostam ni marafiki wakubwa na ufisadi wote wa Rostam unamnufaisha Raisi Kikwete moja kwa moja.
Katika hili, wanaosubiria kumuona Rostam akichukuliwa sheria kwa uhusika wa moja kwa moja kwenye EPA, Kagoda na Dowans nk, wana muda mrefu sana wa kufanya hili.
Kikwete na Rostam Azizi ni pete na chanda - ufisadi wa Rostam Azizi ulimweka Kikwete ikulu na utaendelea kumweka madarakani huku pia ukimnufaisha Kikwete na familia yake binafsi kwa miaka mingi sana ijayo.
habari ndiyo hiyo.
Fukuto la fukuta, moshi wafoka, mapovu yanamwagika, CCM imefika njia panda! Ama isuke au inyoe!
Hili vurugu la Richmond, likizingirwa na BOT EPA, BOT CIS, BOT Minara, Rada, Kiwira, Buzwagi, TICS na moto kutoka Upinzani, unafanya mambo kadhaa tujiandee kutokea.
1. Wabunge ambao si mtandao, wenye uchungu wa kweli wa CCM, kuendelea kusulubisha viongozi wao na Serikali yao iwe wazi. Hawa wabunge, mwokozi wao na nguzo yao ni Wastaafu Malecela, Kawawa, Mwinyi, Salim na Msuya. Huku wako hawa walioshupalia RDC;-Mwakyembe, Kilango-Malecela, Seleli, Kimaro, n.k.
2. Team Mkapa; huku ni wale wajanja wa Che-Nkapa ambao bado wanatibu majeruhi ya mchakato wa kugombea Urais 2005 na kunyang'anywa tonge la Hatamu za Chama. Hapa kuna Mang'ula, Ngwilizi, Kigoda, Kinana, Warioba na Ruhinda. Katika kundi hili, pia wapo wale waliotajirika na mradi wa Ujasirimali Ikulu; Yona, Mramba, Mgonja, Mkono n.k.
3. Mtandao; Kundi hili lina majeruhi wengi kutokana na kuvunjwa kwa baraza la mwazirina mwegemeo wa kashfa za ufisadi kuwa kwenye shingo zao. Kundi hili, limegawanyika katika sura mbili;
1. Team Kikwete ambayo wamebakia Makamba, Chiligati, Membe, Migiro, Karume4. Wasiofungamana lakini wana nguvu na ni tishio; Pinda, Mwandosya, Sumaye, Balali, Salmin, Magufuli, Msekwa na Sitta.
2. Team Rostwassa(Rostam/Lowassa); Karamagi, Msabaha, Nchimbi, Apson, Meghji, Kamala, Masha Diallo, Chenge,
Serikali mpya na baraza lake la mawaziri bado ni ya Kikwete Lowasa na Rostam.
Masha-Mambo ya ndani, bila Lowasa Bw. Mdogo Masha asingekuwa hapo alipo, ni lowasa aliyemshika mkono na kumwingiza kwenye siasa, kwani yeye Masha na Business partner wake Magai walikuwa private lawyers wa mamvi, na hata Magai aliwahi kupatiwa ujumbe wa bodi ndani ya city water wakati huo Lowasa ni waziri wa maji. Je unategemea Masha atasahau alikotoka kama JK asivyomtupa Hussein Mwinyi???? Hao polisi, Manumba na Magereza vyote viko chini ya Masha. Sasa je, nani atamkoma Nyani giradi????
Ngeleja-Nishati na Madini- Huyu alikuwa mwanasheria mkuu wa Vodacom Tanzania LTD ambako Rostam na lowasa wana hisa japo mamvi ni silent share holder. Ni Rostam aliyemshika mkono Ngeleja akagombee Sengerema na kumpatia fungu la kutosha ashinde. Na ndio maana ameachwa madini ili aendelee kulinda migodi ya Rostam. Hivyo tusitarajie mabadiliko makubwa.
Mkullo-fedha- Huyu akiwa mkurugenzi wa NPF sasa NSSF alichota mapesa kibao kumuunga mkono JK mwaka 1995, hivyo ni senior mwanamtandao. Na ndio maana Mkapa alipoingia madarakani akamtema NSSF.
Chenge- Miundombinu, JK hana namna, hampendi Chenge lakini anakuwa forced na Lowasa na Rostam. Mikataba yote kuanzia IPTL n.k imesainiwa wakati wa Chenge na yeye anaelewa nani ni nani katika hayo makampuni yanayozidi kuutafuna utajri wa taifa hili na kutuacha watanzania tukilalia chips kavu. Eti JK atamtosa Chenge! THUBUTU! Atasema kila kitu ! Na ndio maana wakamuwahi Salome mbatia wakamuua ili asiendelee kutoa siri kwa wapinzani kuhusiana na pesa za BOT, kwani yeye ndo alikuwa Mweka hazina mkuu wa chama wakati wa uchaguzi
Kutokana na kuwepo makundi haya makubwa na utata unaotambaa angani hasa baada ya Lowassa kuangushwa na minong'ono kuwa naye Lowassa ana ushahidi wa kujikosha, linalobakia kwetu watazamaji ni kupima upepo na kuomba dua wapigane na wagawanyike ili tujue nani ni kwa manufaa ya Taifa na nani ni mnyonyaji.
CCM si salama, na hata kama wakitoka nje ya ukumbi wakiwa wamekumbatiana, tusiwaamini.
Si jambo la kushangaza kuwa wengine karibu wote wameguswa - kuanzia Mramba hadi Liyumba (angalau wamefika mahakamani) lakini Rostam Azizi ambaye ametajwa kwenye EPA, Kagoda, Dowans, na kwingine kote bado anadunda tu mtaani.
Ukichukulia mashitaka yaliyofunguliwa dhidi ya kina Mramba na kile ambacho serikali imekuwa inasema au kusita kusema kuhusu EPA, Kagoda na Dowans. Na pia ukichukulia PR inayoendeshwa sasa hivi kwa niaba ya Rostam Azizi kwa kutumia ofisi muhimu za serikali na CCM, si jambo la kushangaza kuwa Kikwete na Rostam bado wana nguvu yote ya kujaribu kudaganya uma wa watanzania kuwa serikali ya CCM inajisafisha (inapigana) na ufisadi.
Sio kwa sababu ya udini kama ambavyo baadhi ya watu hapa wamekuwa kwa muda sasa wakidai (kuwa ubaguzi wa kidini ulichangia sana kwa kilichotokea dhidi ya Mramba, Mgonja na Yona huku Rostam Azizi akipeta), Kikwete na Rostam ni marafiki wakubwa na ufisadi wote wa Rostam unamnufaisha Raisi Kikwete moja kwa moja.
Katika hili, wanaosubiria kumuona Rostam akichukuliwa sheria kwa uhusika wa moja kwa moja kwenye EPA, Kagoda na Dowans nk, wana muda mrefu sana wa kufanya hili.
Kikwete na Rostam Azizi ni pete na chanda - ufisadi wa Rostam Azizi ulimweka Kikwete ikulu na utaendelea kumweka madarakani huku pia ukimnufaisha Kikwete na familia yake binafsi kwa miaka mingi sana ijayo.
habari ndiyo hiyo.
Mimi kama baadhi ya waafrika nina tendency za kishirikina (I believe there is witchcraft) na kwa hiyo I remain open to the fact that yule jamaa anaweza kuwa mshirikina wa kutupa, tena yeye mwenyewe anaweza kuwa ni sangoma (mchawi). Wairani na waarabu, hata wahindi ni washirikina kwelikweli, kwa hiyo sio ajabu kuwa jamaa alirithi matunguli.
Eti JK atamtosa Chenge! THUBUTU! Atasema kila kitu ! Na ndio maana wakamuwahi Salome mbatia wakamuua ili asiendelee kutoa siri kwa wapinzani kuhusiana na pesa za BOT, kwani yeye ndo alikuwa Mweka hazina mkuu wa chama wakati wa uchaguzi
Hii thread umeangalia tarehe? Ni miaka 10 iliyopita.Aisee