Amoxlin JF-Expert Member May 30, 2016 3,784 4,089 Oct 21, 2016 #2 Yani akifunga huo mchezo ndo vijana watakua majambazi kabisa. Acha mhindi ale na sisi tule kidogo. Ajira mpaka feb.
Yani akifunga huo mchezo ndo vijana watakua majambazi kabisa. Acha mhindi ale na sisi tule kidogo. Ajira mpaka feb.
S sichoki Member Sep 4, 2016 32 60 Oct 21, 2016 #3 Wewe ndio unawaaribu vijana kwa kuwapa bia..sababu kazi hawana na wakikosa bia watarukia viroba...acha wabet tu
Wewe ndio unawaaribu vijana kwa kuwapa bia..sababu kazi hawana na wakikosa bia watarukia viroba...acha wabet tu