Serikali yetu ya Tanzania imekuwa kwenye siasa nyingi wakati watu wanamatatizo ya mafuta, maji na umeme.
Serikali imechaguliwa kutatua haya matatizo badala yake serikali imekuwa ikipoteza muda mrefu kufuatilia masuala ya siasa na kushindana maneno na Vyama vya upinzani kucha kutwa.
Nchi yetu kwa sasa ipo pabaya na serikali ipunguze siasa na inatakiwa kuimarisha mahitaji ya watu. Watanzania hawahitaji vitu vingi lakini barabara, umeme, maji, na mafuta watu binafsi hawawezi kutatua haya matatizo!
Serikali inatakiwa iangalie policy vizuri na itatue haya matatizo haraka kwani nchi sasa haina hope kabisa. Acheni kelele za kulaumu wapinzani wakati vitu vichache muhimu kwa maisha ya kila siku havipo Rwanda inakuaaje wana huduma zaidi yetu wakati ni nchi ndogo haina gas wala bandari!
Serikali acheni porojo na fanyeni kazi bila ubinafsi kabla hamjaleta vita Tanzania.
Serikali imechaguliwa kutatua haya matatizo badala yake serikali imekuwa ikipoteza muda mrefu kufuatilia masuala ya siasa na kushindana maneno na Vyama vya upinzani kucha kutwa.
Nchi yetu kwa sasa ipo pabaya na serikali ipunguze siasa na inatakiwa kuimarisha mahitaji ya watu. Watanzania hawahitaji vitu vingi lakini barabara, umeme, maji, na mafuta watu binafsi hawawezi kutatua haya matatizo!
Serikali inatakiwa iangalie policy vizuri na itatue haya matatizo haraka kwani nchi sasa haina hope kabisa. Acheni kelele za kulaumu wapinzani wakati vitu vichache muhimu kwa maisha ya kila siku havipo Rwanda inakuaaje wana huduma zaidi yetu wakati ni nchi ndogo haina gas wala bandari!
Serikali acheni porojo na fanyeni kazi bila ubinafsi kabla hamjaleta vita Tanzania.