Voice of Voices
Member
- Jun 17, 2011
- 20
- 5
Serikali kupitia Waziri wetu mkuu Bwana Mizengo Pinda inasema imejipanga vyema kuhudumia jamii katika mgomo wa madaktari,hivi mwanzoni mbona watu walipoteza maisha ina maana mlikuwa hamja jipanga au?
Pia hii kauli ya kusema " wao kama watanzania kwa taaluma na miiko yao sitegemei kuwaona wanagoma wakati maisha ya watu yanapotea" hivi kama serikali mnasema hivyo nami najinukuu, "nyinyi kama serikali sitegemei kuona watu wanapoteza maisha wakati mpo na hamtatui matatizo ya MADAKTARI ili wawahudumie wananchi"
Upanga unakata huku na huku, madaktari na wauguzi pia mnajidharirisha, kama mmeamua kugoma basi msioneshe nyuso zenu sehemu zenu za kazi manawatesa wananchi, kilichotokea Hosptali ya temeke sio kitu kizuri,mnachukua hela za watu kisha hamwahudumii?
Pia hii kauli ya kusema " wao kama watanzania kwa taaluma na miiko yao sitegemei kuwaona wanagoma wakati maisha ya watu yanapotea" hivi kama serikali mnasema hivyo nami najinukuu, "nyinyi kama serikali sitegemei kuona watu wanapoteza maisha wakati mpo na hamtatui matatizo ya MADAKTARI ili wawahudumie wananchi"
Upanga unakata huku na huku, madaktari na wauguzi pia mnajidharirisha, kama mmeamua kugoma basi msioneshe nyuso zenu sehemu zenu za kazi manawatesa wananchi, kilichotokea Hosptali ya temeke sio kitu kizuri,mnachukua hela za watu kisha hamwahudumii?