Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,850 155,799 Nov 20, 2009 #2 dah.. hivi tubnafaidikaje kwa hao wazungu kwa kutumia jina letu?
Mopao Josee JF-Expert Member Jul 15, 2009 280 1 Nov 20, 2009 #3 serengeti eyewear ya baridi au ya moto????
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 Nov 20, 2009 #4 Weka sawa hii kitu wewe Eqlypz. Hiyo ndo nembo ya miwani au vp, maana naona ikoiko tu, na hiyo sioni mashiko ya hoja!...huh!
Weka sawa hii kitu wewe Eqlypz. Hiyo ndo nembo ya miwani au vp, maana naona ikoiko tu, na hiyo sioni mashiko ya hoja!...huh!
Kibunango Platinum Member Aug 29, 2006 8,420 2,271 Nov 20, 2009 #6 Hapa mtaani inauzwa sio chini ya 157 euro
Eqlypz JF-Expert Member May 24, 2009 4,065 632 Nov 20, 2009 Thread starter #7 PakaJimmy said: Weka sawa hii kitu wewe Eqlypz. Hiyo ndo nembo ya miwani au vp, maana naona ikoiko tu, na hiyo sioni mashiko ya hoja!...huh! Click to expand... Ebo!! si uende kwenye website yao ukitaka kujua zaidi.
PakaJimmy said: Weka sawa hii kitu wewe Eqlypz. Hiyo ndo nembo ya miwani au vp, maana naona ikoiko tu, na hiyo sioni mashiko ya hoja!...huh! Click to expand... Ebo!! si uende kwenye website yao ukitaka kujua zaidi.