AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,658
- 2,804
Leo hii katika diba la chamazi,timu ya taifa ya vijana ya Serengeti Boys iliweza kuibuka na ushindi wa goli 3-1 dhidi ya timu ya taifa ya Afrika Kusini,kwa matokeo hayo timu ya taifa ya Serengeti boys inangoja mshindi kati ya Namibia na Congo Brazavile hii hapa ni ni video fupi ya jinsi mchezo ulivyokuwa