Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
ayaaaaaa, invisible yuko wapi . !! wewe naonda kuomba upigwe life banMbona unajihami mdogo wangu?
Kuwa mpole, hizo ni dhana tu za watu, kila mtu ana uhuru wa kuamini anachotaka bila kuitwa Mpumbavu,..
Hii mambo ya FreeManson kila mtu ana tafsiri yake, Binafsi huwa napuuza tu...
Wengine wanaweza kuja na mtazamo kuwa Ivuga ni Shoga, utagombana na wangapi??