ngoshombasa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 435
- 232
..mmmh hiii ni stimulus package kwakweli
Hawa ndo ma celebrity, sio mtu unaomba watu wa kusupport kuwa celebrity.
Binti anafamya kazi, watu wanamfuata fuata wenyewe kutokana na kazi iliwasikie naye anazungumza nini, kutokea hapo wanaandika.
Huwezi kuwa celebrity kwa kuomba.
Mimi nadhani u-celebrity unatokana na mambo uanyoyafanya na jamii ikakuona na kusema kweli huyu ni mtu maarufu.Tatizo Tanzania kwa gharama yoyote mtu ananunua kuwa celebrity,tumeona mengi watu wamenunua na magezi ili waandikwe kila siku,watu wamelipa pesa ili waimbe kwenye band na waonekane.Anzisha kipaji chako, kitangaze ikiwezekana, watu waone kuwa wewe ni celebrity.
Cerena williams she is a real and fantasitic ceberity.Bongo unatafuta u-celebrity kwa kutukana watu kwenye U BONGO STAR SEARCH...Ri..and Maja..