Kwani walikuwa hawajui hilo? Ama ni ule ujinga wa viongozi wetu? My poor Tanzania!
Is't Mizengo Pinda supposed to be a lawyer? Does't he know the separation of powers between the judiciary , the executive and the legislature? Angalia hawa vilaza wa magamba hamna wanalojua ; aibu tupu!!
WEAK President, WEAK prime minister, WEAK govt, WEAK judiciary system...
Taarifa za uhakika kutoka mjengoni Dodoma ni kwamba Serikali yetu iliyo dhaifu imeshindwa kutoa tamko kama ilivyoahidi jana kupitia PM wake Bwana Mizengo Kayanza Pinda kwa kisingizio kuwa hilo swala kwa sasa liko Mahakamani! Kichekesho ni kwamba huu mgomo unaingia wiki ya pili sasa na hili swala inajulikana liko Mahakamani na PM Pinda wakati anaisemea serikali jana Bungeni kuwa itatoa tamko alikuwa anajua hili! Huu ndio udhaifu tunaozungumzia kila siku kuwa kwa sasa Tanzania hatuna Serikali maana viongozi wote ni wadhaifu na hawana maamuzi. Kila siku wanaishia kuweweseka na kutoa kauli zenye kuzua utata mtupu.
Hakika kwa hili Serikali ya Chama Cha Magamba-CCM imedhihirisha udhaifu wake kupitia Waziri wake Mkuu Pinda. Hii si yo mara ya kwanza kwa Pinda kutoa kauli zenye kutia shaka. Huu ni UDHAIFU mkubwa sana alio nao Mizengo Kayanza Pinda kiasi cha kumfanya aonekane ni PM asiye na maamuzi hata kidogo.Kuna mifano chungu nzima inayoonyesha weakness za Pinda tangu wakti ule aalipokwenda Kanda ya Ziwa kushughulikia MAUAJI YA MA-ALBINO. Pinda bila ya aibu alilia mbele ya wananchi ati kuonyesha uchungu kwa vifo vya albino! Huu ni udhaifu. Mwanamme mzima utaliaje mbele ya wanaume wenzako achilia mbali wanawake na watoto walokuwa kwenye mkutano ule.UDHAIFU. Kuna swala la Katibu wa Nishati na Madini ambalo Pinda alijifaragua kuwa angelimfukuza siku ileile na haikuwa hivyo. Kuna swala la mgomo wa Madaktari ambalo hakika linamwelemea tangu lilipoanza kwa kudai ati Dr. Ulimboka hakuwa Daktari maana alifukuzwa Chuo,baadaye ilikuja onekana alichosema ilikuwa ni uzushi.
Sasa hili la jana mzee mzima tena kachemka.Je,wakti anasema atatoa tamko alikuwa kasahau kuwa hilo swala liko Mahakama?UDHAIFU mtupu. Hata hivyo kwa Great Thinkers tunaweza kusoma katika ya mistari kwamba: Kitendo cha KUTEKWA KWA DR.ULIMBOKA STEVEN NA MIKAKAKATI YA KUTAKA KUMNYAMAZISHA KWA KIFO limetikisa nchi nzima kwa kila Mtanzania na hasa Madaktari na wapenda amani wa nchi hii. Kulingana na taarifa za tukio zima hawa WATEKAJI WALIDHAMIRIA KUTOA ROHO YAKE KABISA. Lakini kwa vile Mungu siku zote yuko upande wa HAKI alimnusuru Dr. Ulimboka ili hatimaye aweze kuwataja hao wabaya wake ambao tuna hakika anawajua na kuna maneno waliyokuwa wanayatamka wakati wakimsulubisha. Kwa hiyo kila kitu kitawekwa wazi muda si mrefu. Kwa mtu mwenye akili timamu akiunganisha MANENO YA PINDA KUWA LIWALO NA LIWE ANAPOUNGANISHA NA KUTEKWA KWA DR.ULIMBOKA LAZIMA HAPA KUNA MKONO WA SERIKALI KWA ASILIMIA 99.9999%. Serikali kama kawaida yao watajaribu kupotosha ukweli huu lakini wajue kuwa Watanzania si wajinga kihivyo. Time will tell!
Kama CCM walikuwa wanajidanganya kuwa kumnyamzisha Dr.Ulimboka kwa kifo itazuia mgomo wa madkatari basi ni UDHAIFU mkubwa na UVUVI wa kufikiri. Ni serikali za MADIKTETA TU NDIYO WANAOWEZA KUFANYA VITUKO KAMA HIVI. KWA HAPA TULIPOFIKIA SASA CCM NI UTAWALA WA KIDIKTETA KWA ASILIMIA 100!Maana kiukweli hili litakuwa limewatia CCM DOA na kwa maana nyingine wamezidi KUJICHIMBIA KABURI LAO HUKU WAKILIPAMBA KWA MARUMARU TAYARI KWA MAZISHI YAO KATI YA SASA NA 2015. We are waiting for that great Day. The DEATH OF CCM.
Nawasilisha.