Leo Tunaona Jinsi Gani Inchi Zilizoendelea na Zinazoendelea Zinafanya Kila Jitihada Kurekebisha Uchumi Wao na Kuhakikisha Wanajiimarisha Kwenye Global Economy. Leo Tunaona Tanzania-CCM Base Economic Policies Hazieleweki na Hatujui Mtazamo Wao na Kikubwa Hatua Za kuifikisha Inchi Kwenye Economic Freedom Hazijaanza Hata Kufikiriwa. Uchumi wa Tanzania Unaonekana Unajengwa on Bases of Political Deals and Not True Economic Policies. Tanzania Lazima Itafute Njia za Kujenga Infrustructure Zetu ili Hii East African Community Tuweze Kudorminate Kwenye Hii Region. Hili Swala la East African Community Sijui Kama CCM Wanajua Jinsi Gani Kenya Business and Uganda Communities Lobby and Fight to Win. Its All About Increase Earnings kwa Makampuni Yao na Kujenga Inchi Zao. Haya Mabenki Kutoka Uganda na Kenya Yanafika Mikoani na Vijijini Wakati Tanzanian Banks are Sold Off. Ninawalaumu Sana Bank Kuu kwa Sababu Hawafanyi Kazi Inayotakiwa. Bank Kuu ya Tanzania Lazima Ipiganie Kujenga Financial Policies za Kuijenga Inchi. Mfano ni Kuhakikisha Tanzania Banks Zinagrow Kwa Kusisitiza Mafundisho ya Biashara Mashuleni. Technical Colleges na University of Dar Wangeusishwa Kutengeneza Short Programs za Biashara ili Wananchi Wajue Jinsi ya Kukopa na Kuweza Kubuild Value in Their Business While Markets Zinagrow Inchini. Hatuwezi Kujenga Inchi kwa Wananchi Kutegemea Kazi za Serikali. We Have to Build Private Sectors and Banks Ni Kitu Muhimu Sana to Engeener This Part. Lazima Tufanye Spending Cuts on Those Waste Areas Including Ministers and Other Government Official Salaries, privileges and Bonuses. If We Want to Build Our Private Sector, We Can Grow Middle Class and Lower Our Unemployment. Our Hope Bunge Will Start Repair Our Constitution and Focus on Economic Policies That Will Strengthen Out Country and Not the Few Elite.