Takribani miaka 15 toka kampuni ya miyombo ilipo kufa tumepata wawekeza wawili wa kutukodishia mashamba ili tulime,mwaka huu tumezuiwa kufanya lote na kuambiwa kuna muwekezaji mpya anaye taka kulima zao la mtama. Sasa hii mikataba mbona haieleweki ikoje ?.
Takribani miaka 15 toka kampuni ya miyombo ilipo kufa tumepata wawekeza wawili wa kutukodishia mashamba ili tulime,mwaka huu tumezuiwa kufanya lote na kuambiwa kuna muwekezaji mpya anaye taka kulima zao la mtama. Sasa hii mikataba mbona haieleweki ikoje ?.
mdau kuanzia mashamba ya kimamba,madoto,rudewa,MAZULIZ(MAGOMENI) NA ROZI,hayo yote ya wakubwa,hakuna cha mwekezaji wala mwezeshaji,utakuja kusema hapa,muulize mbunge wakoambaye ni mbunge wa MIKUMI