Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Wajameni nimechukua hii picha kutoka kwenye blog ya ankal, binafsi imenikera sana. Kuna sababu gani ya kuweka shule ya maalbino kwenye jamii yetu. Kwanini hawa watoto wasiende shule zenye mchanganyiko na watoto wa rika lao katika jamii.
Kama tatizo ni disability au prejudice kwanini serikali inashindwa kutoa darasa la kijamii na kutoa adhabu sahihi katika shule husika kwa kushindwa kuwalinda hawa watoto. Kuna tofauti gani kati ya mtoto albino na mwingine; what next shule ya watoto walemavu.
Huku ni kuwapa hawa watoto psychological impairment early in life na kuwapunguzia self esteem later in life. It is unacceptable and a discriminatory way of bringing up these children. At their stage in life they need to be with other kids and learn social skills equally, those skills can only be acquired at school playrounds (ngumi ikiwa moja wapo kama jamaa analeta za kuleta, and the need to interact with other children of all sorts of behaviours).
They are part of the whole and they shouldn't be segregated at this age, its just pathetic.
Kama tatizo ni disability au prejudice kwanini serikali inashindwa kutoa darasa la kijamii na kutoa adhabu sahihi katika shule husika kwa kushindwa kuwalinda hawa watoto. Kuna tofauti gani kati ya mtoto albino na mwingine; what next shule ya watoto walemavu.
Huku ni kuwapa hawa watoto psychological impairment early in life na kuwapunguzia self esteem later in life. It is unacceptable and a discriminatory way of bringing up these children. At their stage in life they need to be with other kids and learn social skills equally, those skills can only be acquired at school playrounds (ngumi ikiwa moja wapo kama jamaa analeta za kuleta, and the need to interact with other children of all sorts of behaviours).
They are part of the whole and they shouldn't be segregated at this age, its just pathetic.