Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
mkuu yale majmbo yasio na resource yatajulikana na yatatafutiwa njia bora za kujiendeleza.I hate sare ya majimbo, sehemu ambazo hakuna resources za kutosha na ambazo zipo nyuma kimaendeleo, zitaendelea kudidimia. Híi tuliyonayo ni nzur, sema viongoz sio wazur. Tatizo sio system tatizo ni viongozi. Kwa sera za majimbo count me out!