- Uliberali ni nini
- Serikali Ya Umoja wa Kitaifa
- Asilimia 19 ya bajeti kuhudumu Elimu Bure kwa wote 2010 na kupanda mpaka asilimia 25 mwaka 2015
- Kipaumbele ni Elimu bora ya bure.
- Katiba ya Jamhuri ya Tanzania ya Mwaka 1977 kufumuliwa
- Maseneta kupitishwa na bunge
- CUF na CHADEMA Elimu Bure Inawezekana, CCM sera yake inatamka haiwezekani
- Coalition Government (serikali Ya umoja) Kipaumbele ni maslahi ya Taifa mbele na siyo masilahi ya mgombea au chama
- Utawala Bora ni kushirikisha Watanzania wote yaani Viongozi wa kuchaguliwa na wakuteuliwa (baada ya kupitishwa na Bunge)
Hisani Ya Tangibovu wa YOUTUBE
Last edited by a moderator: