Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
hahahahaaaaa, ukiona mtu kaanza kwenda personal kuna kitu behind the scenes. Kama unataka asante omba nitakuwekea kwa kujilazimisha huku nikiangalia pembeni lol!
Hivi wee mama, ikifika wakati wa SHEREHE, na jirani yako kuna masikini, je huyo pia huwa unamnunulia SUTI au nguo kama unazowanunulia wanao ingawa wanao wako katika hali nzuri? Kukitanganzwa msaada wa nguo kutoka kiwanda cha ADIDAS basi na wewe unapeleka wanao wakafaidi vitu MADE IN GERMAN, unaona hilo ni sawa? Mie nafikiri hata Wahindi wenyewe kama akina SHIVJI kama wakiona Mpango kama huo watasema ".. Ni mpango mzuri acha na Mipingo nao waanze kuinuka maana wako chini sana kibiashara.".
Nimeshindwa kujua ulichowekea asante ni nini ndiyo maana nikakuweka kundi moja. VInginevyo kama ungeliandika mawazo yako katika hilo ningeliangalia msimamo wako na hapo kukuchanganya au kutokukuchanganya. Sina shida na asante na wala sina tatizo kuzitoa (nimekupa hapo juu Thanx) ...