sera ya kutoa mimba 'abortion' Tanzania yaja...!

meningitis

JF-Expert Member
Nov 17, 2010
8,349
4,674
kuna tetesi kuwa wizara ya afya na kamati ya bunge ya huduma za jamii ziko chini ya shinikizo kubwa la kutakiwa kupeleka mswada washeria utakaoruhusu utoaji wa mimba yaani abortion.
Ngo moja inayojihusisha na afya ya uzazi inasemekana kuwa nyuma ya shinikizo hili ikitetea kwa kusema utoaji mimba usio halali unafanyika kwa wingi nchini tanzania hivyo wakati umefika kwa kuruhusu utoaji mimba kihalali.
Kazi kwetu wanajf na watanzania kwa ujumla,,,je msimamo wetu ni upi?
 
Ni kweli huu mswada upo na soon utapelekwa bungeni kujadiliwa na wataupitisha ccm kwa kura zao za wengi wape.....Huu mswada ni shinikizo toka nje.......na hata spika anaufagilia wakati ukipita athari zake zitakuwa mbaya zaidi ya hali iliyopo sasa....wanadai moja ya lengo lake ni kupunguza vifo vya mama na mtoto wakati takwimu za nchi nyingi ambazo zimewahi kuhalalisha abortion zinaonyesha vifo vya mama na mtoto viliongezeka pale ambapo abortion was legalized.....you can read more on this from the below link...
Radical pro-abort bill being pushed on Tanzania by international organizations | LifeSiteNews.com
 
Mimi nilifikiri kampeni ya kufanya ngono salama (Tanzania bila Ukimwi inawezekana) imefanikiwa kiasi cha kufanya mimba zisizotakiwa lisiwe tena tatizo kubwa.
Kama utoaji wa mimba bado ni mkubwa, inabidi tuzungumzie kwanza tatizo la utungaji mimba zisizotakiwa kabla ya kuzungumza utoaji wake!!:thinking:
 
jalala hupokea kila aina ya uchafu

mimi nadhani hatujalazimishwa na ndio maana wakaamua kupitia bungeni ili wananchi waamue kupitia bunge lao.wasi wasi wangu ni uelewa mdogo wa wabunge wetu unaweza kuja na maamuzi mabaya.
 
Mimba asiyo ugonjwa; inatupasa jamii kujadiliana na kupeleka miswada Bungeni kuhusu kupambana na magonjwa yanayoua Watanzania na siyo kupambana na maradhi ya Starehe kama Mimba zisizotakiwa (Ambazo zinalazimisha Abortion)

Mimba hizi zinazoongelewa siyo ugonjwa hivyo hakuna sababu ya Wabunge kukaa katika kikao na kujadili suala hili lisilo na manufaa kwa Taifa, hivyo watakuwa wanajichukulia Posho tu na kupoteza muda wa kujadili masilahi ya taifa.

Hadi tunavyoongea Mahospitalini mimba zinatolewa, yaani ni zile ambazo zipo kihalali na kwa sababu ya kunusuru maisha ya Mama endapo Daktari ataona kuwa kuna hatari ya kupoteza mama na mtoto (Masuala ya Kiafya)

Lakini hawa wanaoenda kutoa mimba vichochoroni ni wale wenye Mimba zisizotakiwa. Eti wengine wanasema zimeingia Bahati Mbaya. PTYUUUUUUUUUUUUUUUUUUU!!! Hakuna mimba inayoingia bahati mbaya, zote zimedhamiriwa kwani wakati mnafanya unapanda mahindi ulitegemea kuvuna nini??? Huwezi vuna choroko ikiwa ulipanda mahindi!!!!!!

KWa Bunge kujadili hii mada katika vikao vyake ni kupoteza pesa za Taifa na muda wa kjadili mambo muhimu.

MIMBA SIYO UGONJWA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

KWA KUJADILI NA KUPITISHA MUSWADA HUU NI KUHALALISHA MAUAJI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

WABUNGE WOTE WATAKAOJADILI NA KUUKUBALI WAFUNGWE MIAKA 30 JELA KWA KOSA LA MAUAJI!!!!!!!!!!!!!!!!




MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Mimba asiyo ugonjwa; inatupasa jamii kujadiliana na kupeleka miswada Bungeni kuhusu kupambana na magonjwa yanayoua Watanzania na siyo kupambana na maradhi ya Starehe kama Mimba zisizotakiwa (Ambazo zinalazimisha Abortion)

Mimba hizi zinazoongelewa siyo ugonjwa hivyo hakuna sababu ya Wabunge kukaa katika kikao na kujadili suala hili lisilo na manufaa kwa Taifa, hivyo watakuwa wanajichukulia Posho tu na kupoteza muda wa kujadili masilahi ya taifa.

Hadi tunavyoongea Mahospitalini mimba zinatolewa, yaani ni zile ambazo zipo kihalali na kwa sababu ya kunusuru maisha ya Mama endapo Daktari ataona kuwa kuna hatari ya kupoteza mama na mtoto (Masuala ya Kiafya)

Lakini hawa wanaoenda kutoa mimba vichochoroni ni wale wenye Mimba zisizotakiwa. Eti wengine wanasema zimeingia Bahati Mbaya. PTYUUUUUUUUUUUUUUUUUUU!!! Hakuna mimba inayoingia bahati mbaya, zote zimedhamiriwa kwani wakati mnafanya unapanda mahindi ulitegemea kuvuna nini??? Huwezi vuna choroko ikiwa ulipanda mahindi!!!!!!

KWa Bunge kujadili hii mada katika vikao vyake ni kupoteza pesa za Taifa na muda wa kjadili mambo muhimu.

MIMBA SIYO UGONJWA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

KWA KUJADILI NA KUPITISHA MUSWADA HUU NI KUHALALISHA MAUAJI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

WABUNGE WOTE WATAKAOJADILI NA KUUKUBALI WAFUNGWE MIAKA 30 JELA KWA KOSA LA MAUAJI!!!!!!!!!!!!!!!!




MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

mimba si ugonjwa lakini utoaji mimba huweza kusababisha vifo.
Vile vile mimba zisizopangwa huongeza watoto wa mitaani
 
mimba si ugonjwa lakini utoaji mimba huweza kusababisha vifo.
Vile vile mimba zisizopangwa huongeza watoto wa mitaani

ikatokea bint bahati mbaya kabakwa....! je hudhani kwamba hiyo mimba hakuitarajia..?!
 
A big reason ya kuhalalisha abortion ni kuokoa maisha ya mama mjamzito,
ni lini tutaanza kuokoa maisha ya kichanga kwa kumuua mama mjamzito??????
 
A big reason ya kuhalalisha abortion ni kuokoa maisha ya mama mjamzito,
ni lini tutaanza kuokoa maisha ya kichanga kwa kumuua mama mjamzito??????
mimi nadhani ni bora tuwekeze katika kuwaokoa wote na sio kuokoa mmoja kwa kuuwa mwingine.
 
Back
Top Bottom