r u guys serious? yaani mnataka kukipa chama nchi na hamjui, hamtaki kujua au hamjali sera zao za usalama na ulinzi? you must be kidding me? Sasa watu waache kuuliza maswali kwa sababu ati wako wounded? Na CCM iliniumiza nini mimi kuuliza maswali kuhusu TAKUKURU, Richmond, Dowans? n.k Sikuwa wounded then, and I'm not now.
Sasa mkina na sera au mkianza kuja na mipango (maana hamna sasa) ya kulinda taifa kwa kutumia mishale na marungu na kuanzisha vikosi vya maninja tuje kushtuka?
You r off hook !!!stop your nonesense WaTz wangapi wanajua sera za usalama za CCM na still wanawapa kura miaka yote so whts wrong kutokujua za chadema? kama unataka kushiriki au kusaidia sera za usalama na ulinzi za chadema just go and help ,if u wanna know u dont look like u wanna know .Luteni has said it all ,u kinda wounded so u come up with your demand and stupid Qs.
I was supporting CJJ but now we here where we are and we need to go forward ,and Chadema is the only choice for now.